Mwanamke kwangu sumu kuniomba hela

Mwanamke kwangu sumu kuniomba hela

Ukiombwa na pesa ya kukupikia chakula unatupa chini pia?
 
Umeonaeee binafsi nachukulia mizinga kama kupigwa/kuchuna.
Kimsingi dunia ya Leo wadada lazima mfanye kazi either uwe umeajiriwa au umejiajiri..maisha ni kusaidiana majukumu..vitu vidogo dogo kuhusu urembo wako mdada pesa itoke mfukoni mwako..na kama kipato ni kizuri zaidi basi hata chakula ndani ya nyumba muwe mnasaidiana.
Karne ya mwanamke kuwa goal keeper ilishapita toka 20th century sasa tupo 21st century...

Mie hata kama nikifanya kazi nitakuwa namuomba ila kidogo dogo jamani pesa ya mpenzi tamuuu ww
 
No bora, nimfumanie yupo na wanaumee 50, ntamvumilia hata kumsameheeee, lakin asije akajiloga akaniomba hata 500 ya vocha, nampiga chini hapohapo
Wamesha tufanya sisi ATM
 
nakubaliana na wewe chief..tatizo kuna wanaume dhaifu sana mpaka unamuonea huruma maana kuna wadada huwa wakisha pewa pesa tu wanaanza kuwaponda hao watoaji kwa lugha tofauti tofauti or sometime hizo hizo pesa wanakula na wanaume wengine.
nimewahi msikia mdada mmoja anasema ngoja nimpigie simu huyu ----- anilete pesa ya chai.
 
Mwanzoni nilikuwa nawapa wakiomba lkn hivi karibuni siwapi tena wengine nawapiga chini hadi wengine wananitishia kuniroga busha.
 
kusema kweli mwanamke kuomba omba hela kwa vitu vya kawaida vinapunguza uhalisia wa mapenzi ya dhati, kuna ile madhalani mtu kapata tatizo, mgojwa n.k mwanaume mwenyewe ataona anatakiwa kutoa ama laaah be a woman not a parasite eboooh
 
kusema kweli mwanamke kuomba omba hela kwa vitu vya kawaida vinapunguza uhalisia wa mapenzi ya dhati, kuna ile madhalani mtu kapata tatizo, mgojwa n.k mwanaume mwenyewe ataona anatakiwa kutoa ama laaah be a woman not a parasite eboooh

Kitufe cha like sikioni.
 
Wewe una matatizo sio bure. Hata jogoo anahonga kwanza ndo anadandia. ANgalia sana, anawaita kuku waje wae chakula, wakishafika wandonoa donoa alafu anadandia anapiga kitu.
 
ukitaka mtu asikuombe hela msaidie angalau kitu cha kumuingizia kpato kitakacho wasaidia wote, yawezekana kaz hana xo ukmsaidia cna iman kama atakusumbua... even mi ckumbuk lin niliomba hela aisee... bora nilale njaa ntapata akil kuliko kuomba hela kwa rafk angu wa kiume
 
Kupigwaaa kumoooooo aaahahhahha lols alikudanganya ila sio mbaya si demu wako bana pesa haijapotea
sawa ni demu wako lakini hata kutoa idea tu ya ku improve maisha ni shida?wanawake wengi hua wanawaza kupendeza tu na kuomba hela vingine hua hawajali,mimi sifikiri mara mbili nikijua wewe ni wa mtindo huo delete buton inakuhusu
 
ukitaka mtu asikuombe hela msaidie angalau kitu cha kumuingizia kpato kitakacho wasaidia wote, yawezekana kaz hana xo ukmsaidia cna iman kama atakusumbua... even mi ckumbuk lin niliomba hela aisee... bora nilale njaa ntapata akil kuliko kuomba hela kwa rafk angu wa kiume
naongelea uhuru mpaka wa kifikra pia,haiwezekani mimi nimpe mtaji,nimpe idea,na mahesabu nimpigie pia alafu yeye akae tu kuuza hapo ni sawa na 0 bora kuajiri tu mtu sasa.....huyo hajiwezi na hajitambui na hakuna haja ya kua nae wakati hata mazingira yanayomzunguka hayatambui
 
Wewe una matatizo sio bure. Hata jogoo anahonga kwanza ndo anadandia. ANgalia sana, anawaita kuku waje wae chakula, wakishafika wandonoa donoa alafu anadandia anapiga kitu.
mkuu sasa kuhonga mpaka lini?
 
nakubaliana na wewe chief..tatizo kuna wanaume dhaifu sana mpaka unamuonea huruma maana kuna wadada huwa wakisha pewa pesa tu wanaanza kuwaponda hao watoaji kwa lugha tofauti tofauti or sometime hizo hizo pesa wanakula na wanaume wengine.
nimewahi msikia mdada mmoja anasema ngoja nimpigie simu huyu ----- anilete pesa ya chai.
duuu,ina maana bila huyo jamaa chai hapati
 
Back
Top Bottom