Mwanamke kwangu sumu kuniomba hela

Mwanamke kwangu sumu kuniomba hela

Mi ndo nakereka mpaka basi manake inakua kama tunauziana kha! Mpaka nahisi kummeza mtu pu<?~<;??vu
 
Mmhh nijitegemee mwenyew lakn kubal wote tuje kuwa vichwa vya familia.. sifa ya m'ume rijali ni kumhudumia manz ake, ss sifa hyo ukikosa ukabaki na sifa moja una hatari ya kusaidiwa na wengne wanaojua majukumu ya m'me kwa m'mke.. Na ww bado hujapenda, utapopenda utakuja hp tn
 
Huwezi kumla kuku kwa wali bila kumpa mchele. Umezoea vya bure. Hata sabuni kwa wale wanaoa mikono yao ya kulia inahitaji kununuliwa au unapata bure? Sembuse binti? Starehe gharama kama huwezi kugharamia mabinti usipende vya bure.
 
Haya bhana
tumblr_inline_nyn9dqVFTN1tr0pnw_500.gif
 
Mmhh nijitegemee mwenyew lakn kubal wote tuje kuwa vichwa vya familia.. sifa ya m'ume rijali ni kumhudumia manz ake, ss sifa hyo ukikosa ukabaki na sifa moja una hatari ya kusaidiwa na wengne wanaojua majukumu ya m'me kwa m'mke.. Na ww bado hujapenda, utapopenda utakuja hp tn

Sawa hiyo lakini co manzi anakua dependent 100% kwa bae wake inakera
 
Wadau,

Mimi ni kijana tu bado sijaoa, sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?

Na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo.

Mkuu mi na wewe tunasomana kwenye hili..mie akianza tu mizinga atanipata ile ya kwanza ila baade ndio kimoko namtafutia kisa natosa mazima
 
Wadau,

Mimi ni kijana tu bado sijaoa, sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?

Na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo.

Uko sawa, hela pekee nayoweza kutoa ni ya Lodge na nauli
 
Nafikiri hii kitu ni nature ya baadhi ya watu, Mimi binafsi nina huo udhaifu..nipo tayari nikutoe out tule na kunywa kwa gharama zangu..kama tutaenda kwa hotel basi kila kitu nitalipia mimi...kitu ambacho sikipendi ni hv vimizinga vidogo Mara hela ya Saloon, Mara sijui vocha e.t.c
Binafsi napendelea ku-date na Binti ambaye anajishughulisha either anafanya kazi somewhere hivyo naye ana kipato ambacho anaweza kumaliza mwenyewe mahitaji yake kama Binti..
Dunia imebadilika sana jamani.. Hivyo kama ambavyo mnapigania haki sawa..vivyo hivyo kwenye maisha lazima sote tutegemeane na sio mizinga daily, really it's boring
 
Wadau,

Mimi ni kijana tu bado sijaoa, sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?

Na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo.

Nasikia raha sana ..... anavyonibenua na kunigalagalaza mtoto wa mwezenu?? Pesa ya sabuni ya kunawia papuchi nitaipata wapi???? Kama upendi kuombwa pesa acha kupenda mademu
 
Nasikia raha sana ..... anavyonibenua na kunigalagalaza mtoto wa mwezenu?? Pesa ya sabuni ya kunawia papuchi nitaipata wapi???? Kama upendi kuombwa pesa acha kupenda mademu

Ni akili finyu sana kudhani wakati wa Sex ni mwanamke ndio anayetumika, huko kubenuliwa/kugaragazwa ni katika kufurahishana nyote wawili kimahaba..hivyo ni tendo la furaha kwenu wote wawili na kila mtu ana-loose alot of calories..
Hivyo don't justify hiyo mizinga through sex.
 
Ni akili finyu sana kudhani wakati wa Sex ni mwanamke ndio anayetumika, huko kubenuliwa/kugaragazwa ni katika kufurahishana nyote wawili kimahaba..hivyo ni tendo la furaha kwenu wote wawili na kila mtu ana-loose alot of calories..
Hivyo don't justify hiyo mizinga through sex.

Sawa mie finyu ila pesa nitakuomba mpka mwisho wa mahusiano yetu sasa kama sina pesa nikamuombe nani??? Acha ubahili ww mwanaume pesaa
 
Wadau,

Mimi ni kijana tu bado sijaoa, sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?

Na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo.

Kula uliwe!!
 
Sawa mie finyu ila pesa nitakuomba mpka mwisho wa mahusiano yetu sasa kama sina pesa nikamuombe nani??? Acha ubahili ww mwanaume pesaa

Cha kwanza ondoa hiyo mind set ya kuwa dependent kwa boyfriend wako au mmeo.
Mimi nafikiri mwanamke mzuri ni yule ambaye ataomba kuwezeshwa kimtaji awe na shughuli yake rasmi itakomuingizia kipato ili hizo shida ndogo ndogo kama ulivyo sema sabuni ya kuosha papuchi uwe unazimaliza mwenyewe.
Ila kwangu mpaka nikuwezeshe kimtaji usiwe girlfriend maana hamuaminiki ninyi..Uwe tayari ni mke wangu wa ndoa.
Mizinga ina bore jamaniiiii
 
Cha kwanza ondoa hiyo mind set ya kuwa dependent kwa boyfriend wako au mmeo.
Mimi nafikiri mwanamke mzuri ni yule ambaye ataomba kuwezeshwa kimtaji awe na shughuli yake rasmi itakomuingizia kipato ili hizo shida ndogo ndogo kama ulivyo sema sabuni ya kuosha papuchi uwe unazimaliza mwenyewe.
Ila kwangu mpaka nikuwezeshe kimtaji usiwe girlfriend maana hamuaminiki ninyi..Uwe tayari ni mke wangu wa ndoa.
Mizinga ina bore jamaniiiii

Sasa wapo hataki kukuwezesha kutwa kukuweka ndani tu ukiomba pesa ya nn khaah .... ukiniwezesha nitapunguza ila pesa ya mume ni tamu bana
 
Sasa wapo hataki kukuwezesha kutwa kukuweka ndani tu ukiomba pesa ya nn khaah .... ukiniwezesha nitapunguza ila pesa ya mume ni tamu bana

Nafikiri mtoa mada alilenga zaidi mizinga kipindi ya mahusiano ya boyfriend/girlfriend
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na Binti mmoja mrembo sana..akaja baby naomba hela niende saloon kuritachi( sijui inaandikwa vp) nywele zangu.
Mambo ya saloon za kike mimi siyajui nikaingia mfukoni nikampa 30,000/= akaniambia baby haitoshi kuritachi sio chini ya 60,000/= kwa saloon anayoenda.
Jioni nipo home napiga story na sister ambaye hufanya kazi za saloon ananiambia maana ya kuritachi na gharama zake nikaishiwa nguvu
 
Nafikiri mtoa mada alilenga zaidi mizinga kipindi ya mahusiano ya boyfriend/girlfriend
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na Binti mmoja mrembo sana..akaja baby naomba hela niende saloon kuritachi( sijui inaandikwa vp) nywele zangu.
Mambo ya saloon za kike mimi siyajui nikaingia mfukoni nikampa 30,000/= akaniambia baby haitoshi kuritachi sio chini ya 60,000/= kwa saloon anayoenda.
Jioni nipo home napiga story na sister ambaye hufanya kazi za saloon ananiambia maana ya kuritachi na gharama zake nikaishiwa nguvu

Kupigwaaa kumoooooo aaahahhahha lols alikudanganya ila sio mbaya si demu wako bana pesa haijapotea
 
Kupigwaaa kumoooooo aaahahhahha lols alikudanganya ila sio mbaya si demu wako bana pesa haijapotea

Umeonaeee binafsi nachukulia mizinga kama kupigwa/kuchuna.
Kimsingi dunia ya Leo wadada lazima mfanye kazi either uwe umeajiriwa au umejiajiri..maisha ni kusaidiana majukumu..vitu vidogo dogo kuhusu urembo wako mdada pesa itoke mfukoni mwako..na kama kipato ni kizuri zaidi basi hata chakula ndani ya nyumba muwe mnasaidiana.
Karne ya mwanamke kuwa goal keeper ilishapita toka 20th century sasa tupo 21st century...
 
Back
Top Bottom