kenshi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,976
- 1,973
duuu,ina maana bila huyo jamaa chai hapati
anapata chai vizuri tu. ila kwa sababu jamaa ni B.W.E.G E lake
duuu,ina maana bila huyo jamaa chai hapati
huo ni uchangudoa sasa anatia kinyaa huyo mwanamkeanapata chai vizuri tu. ila kwa sababu jamaa ni B.W.E.G E lake
Mm kama wewe mkuu yani utadhani mwanaume ni giver tuuuuu. Eti naomba hela ya vocha, weekend hii unaniachaje..duh mbona sisi hatuombi hela kwenu?
unavyojiskia wewe ndivyo na mimi ninavyojiskia,basi tusiombanewe we we weee!!! wanaume wa siku hizi wanaomba sanaaaa --- na ni KEROOO- oooh sina hata centi mfukoni, ooh nikopeshe nina shida, ohhh mambo yako vibaya!!! ili mradi ni ombaombaomba tuuu
wanaume acheni kuomba pesa kwa wanawake! ata kama anakupa anamaind sana hakuambii tu