Bibie nafikiri tumeshindwa kuelewana tu, sina dharau na sikudhamiria kudharau mtu, hayo maneno yalikua ni reply kwa mwenzangu aliyewazungumzia kuna wanawake wao wanafikiri Yale wanayotaka kufanyiwa, mwanaume hastahili kufanyiwa ndo Mimi nikaongezea tu sasa kwa wanawake kama hao hawana kingine cha kuoffer zaidi ya papuchi. Ila sikuandika kwa nia mbaya wala kudharau mtu, na kama utakua umekwazwa na namna moja au nyingine sorry sana, tuko hapa kujifunza na kuelimishana na wala sio kudharauliana mkuu.