Mwanamke kudekezwa na kubebishwa

Mwanamke kudekezwa na kubebishwa

Aisee imekua dharau tena, sasa kama kila kitu mwanaume ndo afanye, hapo unafikiri wewe utakua na kazi gani zaidi ya hiyo.
Kuna mahali mmeambiwa wanawake wasifanye chochote? Soma mada elewa mada, usianzishe mada juu ya mada.
Ukitaka kujua nini wanawake wawafanyie, basi pitia humu jukwaani utakutana na mada rundoooooo.
 
Sure, maana anajua the only thing yo can offer ni papuchi. Pathetic indeed!!!
Very, i hate primitive ideas like this. Kuliko ukutane na watu kama hawa bora uwe alone. Nahis narudia tena
 
Very, i hate primitive ideas like this. Kuliko ukutane na watu kama hawa bora uwe alone. Nahis narudia tena
[emoji23] [emoji23] rudia tu maana ni bora mara elfu!!!
 
Hahaha, ukitoa papuchi sidhani kama kuna kingine wanaweza kuoffer, japo hakuna atayekubali hilo.

Si mnaona mlivyo na dharau, alafu nao wakiwadharau mnaanza maneno!!!

Kweli hii ni dharau kubwa sana. Yaan ikiwezekana aombe tu msamaha duuh
hahahaha
najua kwa kina dada jamaa ata wa offend
let me try to explain

toka mwanzo wa binadamu, suala la mapenzi lilihusisha mbadilishano wa rasilimali, mfano vyakula, maladhi na hata ulinzi.
wanawake wamekukuwa waki offer sex kwa ajili ya kupata mambo hayo ni toka evolution of man haya mambo yalikuwepo.
sex was traded with other resources.
kila mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke yamekuwa yana husisha hiyo trade off.
kwa hiyo kwa mtazamo wa ki evolution mwanamke hana cha ku offer zaid ya papuchi, something which is fine for a man.

sasa kwa dunia ya sasa kwa wale wanawake ambao bado wako dependent kwa wanaume hasa financially ni wana offer sex tuu, mfano mtu kama K lyn anaoffer nn kwa Mengi?
lakini kwa wale wanawake ambao wako independent financially na emotionaly na na wanataka companionship tu hao hawa toi sex tuu.

so kwa masista wengi wa k tz bado kauli hii iko sawa tu karib asilimia 75.

na si jambo baya sana
 
hahahaha
najua kwa kina dada jamaa ata wa offend
let me try to explain

toka mwanzo wa binadamu, suala la mapenzi lilihusisha mbadilishano wa rasilimali, mfano vyakula, maladhi na hata ulinzi.
wanawake wamekukuwa waki offer sex kwa ajili ya kupata mambo hayo ni toka evolution of man haya mambo yalikuwepo.
sex was traded with other resources.
kila mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke yamekuwa yana husisha hiyo trade off.
kwa hiyo kwa mtazamo wa ki evolution mwanamke hana cha ku offer zaid ya papuchi, something which is fine for a man.

sasa kwa dunia ya sasa kwa wale wanawake ambao bado wako dependent kwa wanaume hasa financially ni wana offer sex tuu, mfano mtu kama K lyn anaoffer nn kwa Mengi?
lakini kwa wale wanawake ambao wako independent financially na emotionaly na na wanataka companionship tu hao hawa toi sex tuu.

so kwa masista wengi wa k tz bado kauli hii iko sawa tu karib asilimia 75.

na si jambo baya sana
Duuh siamin bado ninachosikia kutoka kwako. At least umetofautisha ila badooooooò
 
Acha tu nilale nishachafukwa mie duuuh
 
Naweza kusema umeongea kitu lkn si kwa dharau zile ulizoweka pale. Et sisi ni papuchi tu tu aweza offer? Kweli? Si kwa dharau hizi jmn
Aisee naona tunashindwa kuelewana, na wala sijamdharau mtu, nilichotaka kukiweka clear ni kwamba mapenzi ni two way you do me I do you, sasa kama utategemea Mimi ndo nifanye yote unafikiri nini kitatuweka tena pamoja kama sio papuchi?. Narudia tena sijadharau mtu na sikuandika hayo maneno kwa nia mbaya.
 
hahahaha
najua kwa kina dada jamaa ata wa offend
let me try to explain

toka mwanzo wa binadamu, suala la mapenzi lilihusisha mbadilishano wa rasilimali, mfano vyakula, maladhi na hata ulinzi.
wanawake wamekukuwa waki offer sex kwa ajili ya kupata mambo hayo ni toka evolution of man haya mambo yalikuwepo.
sex was traded with other resources.
kila mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke yamekuwa yana husisha hiyo trade off.
kwa hiyo kwa mtazamo wa ki evolution mwanamke hana cha ku offer zaid ya papuchi, something which is fine for a man.

sasa kwa dunia ya sasa kwa wale wanawake ambao bado wako dependent kwa wanaume hasa financially ni wana offer sex tuu, mfano mtu kama K lyn anaoffer nn kwa Mengi?
lakini kwa wale wanawake ambao wako independent financially na emotionaly na na wanataka companionship tu hao hawa toi sex tuu.

so kwa masista wengi wa k tz bado kauli hii iko sawa tu karib asilimia 75.

na si jambo baya sana
Lazima umtetee kama mentality zenu zinafanana. Ukitaka kujua k lyn anaoffer nini kwa mengi nenda kamuulize mengi ndio atakuambia. Hizi mentality mnazo wanaume wa kibongo maana kwenu mapenzi mmeyachukulia hivyo mnavyoyachukulia, kwahiyo ukiona mtu anakuchuna then anasepa basi jua wewe ndio chanzo.

Women have alot to offer in relationships than sex. Fikiria tu ukiwa sober(ukiwa hauna hiyo mentality) then utagundua. Hata wewe nafsi ikusute, jiulize tu kwanini hauwataki wasomi then utagundua ni nini women wanaoffer kwenye mahusiano.
 
Aisee naona tunashindwa kuelewana, na wala sijamdharau mtu, nilichotaka kukiweka clear ni kwamba mapenzi ni two way you do me I do you, sasa kama utategemea Mimi ndo nifanye yote unafikiri nini kitatuweka tena pamoja kama sio papuchi?. Narudia tena sijadharau mtu na sikuandika hayo maneno kwa nia mbaya.
Umeandika kwa nia nzr kumbe? You should have said b4 that You do me i do you not et wanawake can only offer papuchi. That is typically offence to my side.
 
Duuh siamin bado ninachosikia kutoka kwako. At least umetofautisha ila badooooooò
hahahaha
najua sija sound vile unapenda but naeleza ukweli wa ki evolution na ki historia hilo swali dunia nzima hujiuliza lakin jibu lina rud pale pale and always we men are very fine with the trade offs.
japo kwa kuwa dunia inabadilika many independent women wanavyo vya ku offer zaid japo bado wako wachache sana wa hivo.
 
Back
Top Bottom