Mwanamke kudekezwa na kubebishwa

Mwanamke kudekezwa na kubebishwa

Ukijivunia pesa zako tu ujue kuna Serengeti boys au Vijana wa Bodaboda wanakusaidia na wanazitumia pesa zako pia. Kila jambo lina nafasi yake kuna PESA na MAPENZI tena ilianza kuumbwa mapenzi kwani Nabii Adam alimpa shilingi ngapi Eva? Je Adam hakumuasi Mungu ili tu amridhishe Eva.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kwaiyo saivi ndo mnataka mtuingize kingi kwa mara ya pili? Tumeshtuka.
 
Kasoro haki za wanawake wasomi tu ndio umegoma kuzipigania shemeji.

Bottom line is, mnatakiwa mtudekeze sana, kama napenda kuchekeshwa we nichekeshe tuuu. Ikifika kukutendea nitakutendea as kichwa kinavyotenda. Nyie si ndio vichwa bwana shemeji!!![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wanawake wasomi kwa kweli sina la kuwatetea shemeji.

ndio mimi nitakuwa kichwa na nitatimiza upande wangu na uwewe pia utimize vile vile, kila mtu akifanya jambo kwa nia ya kumpa furaha mwenzie hapo tunafika vzuri tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wanawake wasomi kwa kweli sina la kuwatetea shemeji.

ndio mimi nitakuwa kichwa na nitatimiza upande wangu na uwewe pia utimize vile vile, kila mtu akifanya jambo kwa nia ya kumpa furaha mwenzie hapo tunafika vzuri tu.
Basi hata yule mwalimu nimeghairi shemeji, maana huchelewi kumtafutia sababu.
 
Hata stori inabd aanzishe mwanaume akikaa kimya mnakua mabubu,anyway upo sahihi kias ila mpunguze kupenda kufurahishwa kuliko kumfurahisha mwenzio
Mpunguze kupenda kufurahishwa kuliko kumfurahisha mwanamke.
 
Ukijivunia pesa zako tu ujue kuna Serengeti boys au Vijana wa Bodaboda wanakusaidia na wanazitumia pesa zako pia. Kila jambo lina nafasi yake kuna PESA na MAPENZI tena ilianza kuumbwa mapenzi kwani Nabii Adam alimpa shilingi ngapi Eva? Je Adam hakumuasi Mungu ili tu amridhishe Eva.
..nacho jua mwanamke haliziki,..utafanya hiki atakuletea kile.
 
Basi hata yule mwalimu nimeghairi shemeji, maana huchelewi kumtafutia sababu.
hahahaa
shemeji kijana muelewa kama mimi kweli utasema nna shda?.
wewe usjali ntakuwa mtu bora sana
 
halaf huwa kuna mambo wana chagua, ikiwa linawafaidisha wanataka wafanyiwe.
ila wao hawa elezi watafanya nn, ndio wanawake zetu hawa bhana
Hebu pitia tu mmu utakutana na nyuzi kibao tena zilizotolewa na wanawake zinazohusu nini mfanyiwe, msijitie upofu leo kwakuwa uzi unawahusu wanawake.
 
Back
Top Bottom