Pesa hamna.Ndio mtupeti peti sasa, ikiambatana na pesa.
Hapo pa kuheshimiwa ndipo panapobeba mlolongo wa demands kibaooo.jamani kwani mwanaume zad ya kuheshimiwa na kupewa haki yake ya mechi, hahitaji mambo mengi.
ila wanawake mnataka hadi tuwe ma komediani!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
shemeji that is too much jaman
Teh teh teeeeeh!!! Kila binadamu ni selfish. Jichunguze tu nawe utagundua hilo.viumbe wabinafsi sana hawa mkuu ukiwaendekeza sana kazn hutaenda na pia atahtaji hela sijui utaziprint
Kama vile ikija suala la pesa ambavyo huwa mnatusaidia kuhubiri usawa eeeh!!!hapana
mbona kwenye mambo mengine huwa mnataka usawa?
mahusiano yafaa yawe fair , sio nikuchekshe ila tuchekeshane, siyo nikubembeleze ila tubembelezane.
kwa kweli relationship ni two way streak.
Ndio mzitafute kwa juhudi sasa.Pesa hamna.
Naunga mkono hojahapana
mbona kwenye mambo mengine huwa mnataka usawa?
mahusiano yafaa yawe fair , sio nikuchekshe ila tuchekeshane, siyo nikubembeleze ila tubembelezane.
kwa kweli relationship ni two way streak.
Itakuwa mwanaume wa kulee.... Maana siyo kwa kutaka mashindano hivyo na wanawake ,utaachwa sana.hapana
mbona kwenye mambo mengine huwa mnataka usawa?
mahusiano yafaa yawe fair , sio nikuchekshe ila tuchekeshane, siyo nikubembeleze ila tubembelezane.
kwa kweli relationship ni two way streak.
Ukijivunia pesa zako tu ujue kuna Serengeti boys au Vijana wa Bodaboda wanakusaidia na wanazitumia pesa zako pia. Kila jambo lina nafasi yake kuna PESA na MAPENZI tena ilianza kuumbwa mapenzi kwani Nabii Adam alimpa shilingi ngapi Eva? Je Adam hakumuasi Mungu ili tu amridhishe Eva.Sio kwa usawa huu wa uncle, hapa kazi tu , kutafuta pesa maana izo zote mbwembwe ingekua ivo hao wachekeshaji kina eric na ringo wangekua na mademu wakali, matokeo yake kina Mengi ndo wanaokula mema ya nchi, usitake kusema mengi nae anafanya kazi ya kumchekesha Jack
Nijuavyo mimi wanawake hawajawahi kuwa na standard!!Wanawake wanatofautiana sana tu,anachokipenda huyu yule hakipendi!kitu cha msingi ni kumsoma mwanamke wako anapenda nini na nini hapendi then nenda nae sambamba!Wanawake hawana fomulaView attachment 536171 View attachment 536166 Ndo hivyo wanaume , wanawake wanapenda kusikia Maneno mazuri ya Mahaba kutoka kwenu yenye kuamsha hisia za mapenzi. Sweet umependeza, tangu nikuoe hadi leo utafikiri hujazaa uzuri wako hauchuji mrembo n.k, n.k .
View attachment 536167
Kifupi Hisia za mapenzi za wanawake wengi huamshwa na KUSIKIA Maneno Mazuri ya Mahaba kutoka kwa mpenzi wake . Awe mwanamke wa umri wowote ule na wala haijalishi umedumu nae kwenye mahusiano kwa muda gani Suala ni kwamba wanawake tunapenda kudeka kwa mabwana zetu ukifaulu hapo Neno kunyimwa unyumba utasikia tu jf au kwenye redio.
View attachment 536170
Kitandani
ndipo haswa na kuonesha ujuzi wako wa kuchekesha na kufurahisha .Kuwa comedian kwa mkeo usiseme atanichukuliaje ,ndo atasisimka na kukumbuka kila ukisafiri ni Miss you, baby unarudi lini.
Jamani kaka, baba, wajomba na watoto wetu wa kiume jaribu sasa kubadilika ilibTanzania ya Viwanda iende sambamba na Familia zenye Furaha na Watu wenye Furaha. Furaha ya Mwanamke itakuletea faida nyingi ikiwemo
1. Mapenzi moto moto yasiyochuja.
2. Watoto wenye akili na wanaojiamini.
3. Familia bora.
4. Utendaji kazi bora na uliotukuka.
Wanawake wengi kwa asilimia kubwa wameweza kuamsha Hisia za Wanaume kwa Kupitia KUONA , siku hizi karibia kila mwanamke ni mrembo na anavutia haswa hivyo wanaume msituangushe twende sambamba tuijenge Tanzania imara.
Jamani ni kukumbushana tu, ahsanteni.View attachment 536169 View attachment 536168
View attachment 536172
shemeji mi sja wahi kuamini lazima mwanamke achangie pesa, ikiwa anazo nisawa akichangia, ila kama baba wa familia i must provide, sema vijana wengi wa mijini ndio hupenda slope.Kama vile ikija suala la pesa ambavyo huwa mnatusaidia kuhubiri usawa eeeh!!!
Kuwa fair ndio huko umpende yeye akuheshimu baaasi. Ukiona huo ni mzigo kwako basi tambua hapo umejiegesha na haupendi shemeji.
Nyie ni too much,wote mnaenda kazn ila hela ya matumiz na ya kusuka atoe mwanaumeTeh teh teeeeeh!!! Kila binadamu ni selfish. Jichunguze tu nawe utagundua hilo.
Hivi kwani wote wenye pesa hawawezi kupiga mashine kisawasawa? Maana naona ni kama watu wamekalili kua ukiwa na pesa basi uwezo wa kupiga mashine unapoteaUkijivunia pesa zako tu ujue kuna Serengeti boys au Vijana wa Bodaboda wanakusaidia na wanazitumia pesa zako pia. Kila jambo lina nafasi yake kuna PESA na MAPENZI tena ilianza kuumbwa mapenzi kwani Nabii Adam alimpa shilingi ngapi Eva? Je Adam hakumuasi Mungu ili tu amridhishe Eva.
Nasemaga ukweli mtupu. Love is two way trafic na hakuna ambaye hapend kubsmbelezwa. Mwenzio mm napenda na nahis wanaume pia wanapenda. Tufanye wote na sio upande mmojawewe huwa nakuaminia sku zote
hujawahi niangusha
sawaItakuwa mwanaume wa kulee.... Maana siyo kwa kutaka mashindano hivyo na wanawake ,utaachwa sana.