Mwanamke kudekezwa na kubebishwa

Mwanamke kudekezwa na kubebishwa

Si ndio unipende nami nikuheshimu!!! Thats the rule, kwahiyo ukiona kunipenda ni mzigo basi nami nitaona kukuheshimu ni mzigo vile vile.
Biblical principle, Mume ana wajibu wa kumpenda mke-afanye kila kitu kuuonyesha huo upendo na mke athibitishe kuwa kweli anapendwa. Mke jukumu lake ni kumtii mumewe katika KILA JAMBO.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Whatever you smoke today ain't right! [emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Biblical principle, Mume ana wajibu wa kumpenda mke-afanye kila kitu kuuonyesha huo upendo na mke athibitishe kuwa kweli anapendwa. Mke jukumu lake ni kumtii mumewe katika KILA JAMBO.
Katika kila jambo!!!! Hilo ni neno zito sana baba.
 
Katika kila jambo!!!! Hilo ni neno zito sana baba.
Kama nakumbuka vizuri ndivyo ilivyo andikwa. Niliweka herufi kubwa ili iwe na sauti kubwa, nashukuru imesikika. Kila jambo kasoro linalopelekea kumuasi Mungu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie me mna nn lkn!??kila kitu nyie Nikupinga tu aghraaaaaaa[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Bibie sisi hatupingi tunataka tujue tu kipi hasa mnataka tuwafanyie mridhike, hakuna mwenye uwezo wa kukupa vyote unavyohitaji kwa pamoja, ni sawa na kulazimisha mashine ya kusaga nafaka hapohapo iwe inakoboa nafaka sijui kama inawezekana.
 
Bibie sisi hatupingi tunataka tujue tu kipi hasa mnataka tuwafanyie mridhike, hakuna mwenye uwezo wa kukupa vyote unavyohitaji kwa pamoja, ni sawa na kulazimisha mashine ya kusaga nafaka hapohapo iwe inakoboa nafaka sijui kama inawezekana.
Kila mtu anahitaji lake, ndiyo maana duniani tupo tofauti tofauti
 
Moja kati ya vitu vitakavyo nisumbua ni kudekesha baby wangu.
 
Ndiyo vichwa ndo Mungu aliwataka kuishi duniani siye tulikuja kwa hitaji lenu hivyo ni kazi yenu kututimizia matakwa yetu na kutufurahisha kama mtoto adaivyo matunzo na malezi toka kwa wazazi.
Orodhesheni vitu vyote mnavovitaka
 
Back
Top Bottom