Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,162
Ndo maana mkeo anachepuka [emoji57] [emoji57] [emoji57]pumba za mc pilipili wanawakw wanaona dili
Ndo maana mkeo anachepuka [emoji57] [emoji57] [emoji57]pumba za mc pilipili wanawakw wanaona dili
Ndio..Bongo hiii hii , ..
Ni hongo kubwa sisi wanaume kukubali tuwe na mbavu pungufu ila zenu zmekamilika au mnataka tuwape na moyo kabisa ili mjue tunacareNdo kazi yenu wanaume acheni kulalamika mkumbuke tumetoka ktk mbavu zenu za kushoto......
Afu hela tutafute saa ngapi?Ndio mtupeti peti sasa, ikiambatana na pesa.
Saa zote.Afu hela tutafute saa ngapi?
Yan nyie wanawake kweli hamjitambui kabisa.... kwahiyo mnataka siku zote ss ndo tuwe makini kuhakikisha nyie mnapata kila mnachotaka kwa wakati.....yan kwa maana nyingine unataka kila mwanamke anayechepuka...kosa n la mwanaume wake????Basi utambue kakuchoka, na kama kakuchoka basi hakukupenda, na kama alikupenda basi kuna mahali ulikosea ndio ukaharibu kila kitu.
Bhas huyo mwanamke aende moja kwa moja kwa huyo..anayeweza kufanya vitu vyote ...hvyo... wala asipoteze muda kwanguAcha ukuda kama askari wa kibiti....
Akipatikana anaejua hayo yote jua huna chako kwa huyo mwanamke
Hata km .....Ndo kazi yenu wanaume acheni kulalamika mkumbuke tumetoka ktk mbavu zenu za kushoto......
Utachapiwa mpaka uone dunia chunguHata km .....
Hii haina tafsir et ndo tuwaendeleze...... maandiko yenyewe ...yameandika tuishi na nyie kwa akili...na sio kuendekeza kila mnachotaka.....nyie...vp
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..... mkuu nipo makini xana..... haiwez tokea.... ciku hakuna mapenz ya kung'ang'anianA....mtu akizingua kidogo..anapigwa chini.... aende huko anakotaka kuchapwa.....shaur zakeUtachapiwa mpaka uone dunia chungu
Hebu soma upya nilichoandika alafu usome na nilichomjibu tena baada ya hiyo post.Yan nyie wanawake kweli hamjitambui kabisa.... kwahiyo mnataka siku zote ss ndo tuwe makini kuhakikisha nyie mnapata kila mnachotaka kwa wakati.....yan kwa maana nyingine unataka kila mwanamke anayechepuka...kosa n la mwanaume wake????
Sio kutuendekeza bali ndivyo inavyopaswa.Hata km .....
Hii haina tafsir et ndo tuwaendeleze...... maandiko yenyewe ...yameandika tuishi na nyie kwa akili...na sio kuendekeza kila mnachotaka.....nyie...vp
Kwa maana nyingine unataka kusema. .wanawake...wote wanaojiuza.....n sababu ya wanaume...wao sioHebu soma upya nilichoandika alafu usome na nilichomjibu tena baada ya hiyo post.
Ila kwa swali lako la pili ni hiviii, wanawake tunaridhika kwa mambo madogo sana, ndio mara nyingi kuchepuka kwa mwanamke husababishwa na mwanaume, tofauti na kuchepuka kwa mwanaume ambapo mara nyingi husababishwa na mwanaume.
Utaacha wangapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..... mkuu nipo makini xana..... haiwez tokea.... ciku hakuna mapenz ya kung'ang'anianA....mtu akizingua kidogo..anapigwa chini.... aende huko anakotaka kuchapwa.....shaur zake
Ndio, na wazazi wao.Kwa maana nyingine unataka kusema. .wanawake...wote wanaojiuza.....n sababu ya wanaume...wao sio
you loved and not loving kwahyo naweza nkabisha hodi na ukanifungulia mlango espyHapana, ndio nimetengeneza.
Hahahaaa!! Mfukunyuku wewe!!you loved and not loving kwahyo naweza nkabisha hodi na ukanifungulia mlango espy
kweli espy ntakutengenezea ulimwengu binfsi ukinifungulia mlangoHahahaaa!! Mfukunyuku wewe!!