Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,785
- 95,581
Kweli my..kupetipeti bila pesa ni keroNdio mtupeti peti sasa, ikiambatana na pesa.
Kweli my..kupetipeti bila pesa ni keroNdio mtupeti peti sasa, ikiambatana na pesa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha!, lakini wewe...lol
Tena kero zaidi ya hii serikali.Kweli my..kupetipeti bila pesa ni kero
Aje hapa asiache kukupetipeti.
Nyie si ndio vichwa jamani! Hebu mtupetipeti huko msitafute visingizio.kwa hiyo mnataka tuwe comedian sasa ndani?hivi nawaza ada za watoto,kodi ya nyumba na mataka taka kibaoo then nipate muda wa kujichekesha chekesha kwa mwanamke ili anipe mapenzi duu !hilo gumu sana mi nadhani nipe nikupe tushawishiane ktk kuleta mapenzi ya kweli na hamasa yake kwa ujumla sio jukumu la mtu mmoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wape wape haoMara kupetiwa, mara nkuchekeshe, bado kitandani na hela nkupe doh... nani kawaambia wanaume hawataki kuchekeshwa
Haya yaliyoandikwa humu ni machache sana.. I do a lot on you... Vile navyokudekeza only me and you knows exactly....
[emoji16] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si ndio nature hiyo mama jamani!
Tena kero zaidi ya hii serikali.
Itabidi niwe mke mwenza sasa maana hamna namna.
Cc smart wetu.