Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,948
- 183,423
Viambatane pamoja.Pesa ndo inapewa kipaumbele..... mapenzi zero
Viambatane pamoja.Pesa ndo inapewa kipaumbele..... mapenzi zero
espy anataka mgawane raha zipi? [emoji15]
sentensi ya mwisho hapo ndo umeharibuNdio mtupeti peti sasa, ikiambatana na pesa.
Hii ni kweli. Wanawake wanataka kusikia maneno mazuri toka kea wanaume na huea kweli yanawasisimua. Hata hivyo ambalo sijawahi kuelewa ukiendekeza sana hii kitu mwanamke hukuona kama fala fulani.
Hapana, ndio nimetengeneza.sentensi ya mwisho hapo ndo umeharibu
Anaweza kuwa anakupenda na atafurahi mwanzoni. Kadri muda unavyoenda hiyo hali anaizoea na haoni unachomfanyia kiko special. Kwahiyo hapo ndo wakati mwingine dharau huwa zinaanza. Na ikitokea ukataka kumtema anaweza hata kulia. Unabaki unajiuliza sasa mbwemwe zote zilikuwa za nini?Ukiona unamfanyia huo "uchawi wetu" then akakuona fala basi tambua haupendwi. Mwanamke anaekupenda kwa dhati ukimfanyia hayo ndio unamfanya akupende zaidi.
Basi utambue kakuchoka, na kama kakuchoka basi hakukupenda, na kama alikupenda basi kuna mahali ulikosea ndio ukaharibu kila kitu.Anaweza kuwa anakupenda na atafurahi mwanzoni. Kadri muda unavyoenda hiyo hali anaizoea na haoni unachomfanyia kiko special. Kwahiyo hapo ndo wakati mwingine dharau huwa zinaanza. Na ikitokea ukataka kumtema anaweza hata kulia. Unabaki unajiuliza sasa mbwemwe zote zilikuwa za nini?
Sawa kama na yeye atakuwa ni malaika kwamba mwanaume ndo anakosea ila yeye hakosei.Basi utambue kakuchoka, na kama kakuchoka basi hakukupenda, na kama alikupenda basi kuna mahali ulikosea ndio ukaharibu kila kitu.
Umewahi kuwa na experience ya kudekezwa?Basi utambue kakuchoka, na kama kakuchoka basi hakukupenda, na kama alikupenda basi kuna mahali ulikosea ndio ukaharibu kila kitu.
Kama mapenzi hakuna lazima atahesabu kila kosa lako na kulichukulia kwa uzito. Yeye yake hayajali maana yako ndio anayatafuta.Sawa kama na yeye atakuwa ni malaika kwamba mwanaume ndo anakosea ila yeye hakosei.
Yes, and i loved every point of it. Na sikuwahi kumchoka.Umewahi kuwa na experience ya kudekezwa?
HongeraYes, and i loved every point of it. Na sikuwahi kumchoka.
Acha ukuda kama askari wa kibiti....Mara kupetiwa, mara nkuchekeshe, bado kitandani na hela nkupe doh... nani kawaambia wanaume hawataki kuchekeshwa
We itakua unafanana na remi ongala kwa sura ndo maana hukupewa mashamshamUnajua wanawake hawa viumbe wa ajabu sanaa ...
Kuna manzi nilikua naye kwenye mahusiano ya kawaidaa tuu nikawa nampa hela siku nyingine namletea zawadi kuna siku akikua hana hela ya mchezo kwenye vikundi vyao nikamsaidia na alipotoka kwenye kikundi simu ilipasuka kwaio akaniomba nimnunulie nyingine hapo
Kuna jamaa wangu yeye anaduka nikamwambia nataka simu nikampa hela nikamwambia atakuja kuchukua shemeji yako fulani . .
Jamaaa akaelewa somo demu akashukuru sanaa
Basi kama miezi mitatu hivi mahusiano yaaendelea out za kutosha zawadi za kutosha vitenge hivi kama zawadi nilimnunulia mpaka basi na hela zingine za matumizi ..
Kimbembe akija gheto yani hamna makeke yoyote na kiuno kigumu sanaa kama nati haina grisi. .
Nikawa namvumilia
Sikuwahi hata siku moja kushika simu yake siku hiyoo alikuja room kwangu alikua ametoka mishe zake akaomba aoge ILI aende kwao ..
Ikaja akili nikachukua simu yake kuingia whatsaap nikaona kuna njemba nyingine anachart naye ile nchemba inamsifia sana utundu wake kitandani hadi koni kanyonya na kiuno feni. ..aisee roho iliniuma sanaa
Aliporudi kutoka kuoga nakujua kama nilikua nimeshika simu yake mana ilikua haina passwords. .
Tangu siku Ile nikawa naishia story tuu na nikamwambia siku hizi biashara zangu hazipo vizuri kwaio nimefulia kama week mbili sijampa hela ...
Nikaanza kukata mawasiliano kidogo kidogo mpaka Leo
Hajui anabaki kuniuliza kuwa kwanini nilimuacha gahfla nikamwambia moyo tuu..
Hawa viumbe hata uwadekeze hamna kitu
Ndo kazi yenu wanaume acheni kulalamika mkumbuke tumetoka ktk mbavu zenu za kushoto......Nyie ni too much,wote mnaenda kazn ila hela ya matumiz na ya kusuka atoe mwanaume