ager the boy
Member
- Jun 14, 2017
- 77
- 23
Eti siku hiz kila mwanamke ni mrembo!
Kumbe mnajua vipi sasa kutukaushia??Namna hiyo ndo wanapendaga
Mliambiwa mtupendde kwenye vitabu vya dini na sisi tuwaheshimu sasa siku hizi dunia imebinuka mnataka sisi tuwapende halafu nyie mtuheshimu ndo maana mnagongewa wife akikuta huko kuna mbebisho wa nguvu anahamia hukohuko. Mbona michepuko mna ibebisha ila wife mnataka fairness. Kiruuùuuuuhapana
mbona kwenye mambo mengine huwa mnataka usawa?
mahusiano yafaa yawe fair , sio nikuchekshe ila tuchekeshane, siyo nikubembeleze ila tubembelezane.
kwa kweli relationship ni two way streak.
M
Mliambiwa mtupendde kwenye vitabu vya dini na sisi tuwaheshimu sasa siku hizi dunia imebinuka mnataka sisi tuwapende halafu nyie mtuheshimu ndo maana mnagongewa wife akikuta huko kuna mbebisho wa nguvu anahamia hukohuko. Mbona michepuko mna ibebisha ila wife mnataka fairness. Kiruuùuuuu
Mnaringa mno,,,kisa mnamiliki asali haaKumbe mnajua vipi sasa kutukaushia??
Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.Kasome upya biblia yako baba yangu.
Hebu uanze sasa hivi.Moja kati ya vitu vitakavyo nisumbua ni kudekesha baby wangu.
Si ndio hapo sasa!!!Nyie c ndo mmeumbiwa kupenda sasa kunipenda kutaendaje bila kunidekeza jmn[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sawa nikimpata tu ntajitahidiHebu uanze sasa hivi.
[emoji23] ndiyo hivyo mungu akupi ukitakacho anakupa unachostahiliUmenena vyema, sasa kuna wengine wanajua hiyo ndo formula asipopata mwenza anayejua kumchekesha anaona hapendwi, kumbe wengine kuchekesha mtihani.
Pesa ndo inapewa kipaumbele..... mapenzi zeroKama haiambatani na miamala ni kero haswaaaa!!!
Hili jambo la kuweka PESA mbele nalo linatutia aibu wanawake wa Kitanzania ingawa mime asiye na kitu nae havutii kabisa kila kitu apewe na mke ni bora kuwa single ujue moja.Pesa ndo inapewa kipaumbele..... mapenzi zero