Mwanamke jiko

Mwanamke jiko

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,313
Kama mzungu anakula dona wewe mdaslamu unakula sembe kwanini?
Ndio maana goli mbili zinawashinda
 

Attachments

  • 1429775961512.jpg
    1429775961512.jpg
    42.9 KB · Views: 2,288
Kuna uhusiano gani kati ya kupika na wanawake kuwa uchiuchi? Kwani mara nyingi wanapopika hawa watu huwa wazi tu!!!!!!
 
Unajua katika maisha kuna watu wapo kufuata mkumbo tu akifika kwa mama ntilie eti unatafuta tu nguvu za kiume unaomba dona, dona la mtaani ni hatari kwa afya yako kwa taarifa yako.Mahindi yanatiwa dawa sasa nakuuliza how far are you sure that kama mahindi yalioshwa.Dona kula nyumbani kwako ambako una uhakika mahindi yameoshwa
 
Unajua katika maisha kuna watu wapo kufuata mkumbo tu akifika kwa mama ntilie eti unatafuta tu nguvu za kiume unaomba dona, dona la mtaani ni hatari kwa afya yako kwa taarifa yako.Mahindi yanatiwa dawa sasa nakuuliza how far are you sure that kama mahindi yalioshwa.Dona kula nyumbani kwako ambako una uhakika mahindi yameoshwa

Wewe umeniibia comment yangu. Nilitaka kuicomment kumbe tayari ushamaliza kazi.
 
Kuna uhusiano gani kati ya kupika na wanawake kuwa uchiuchi? Kwani mara nyingi wanapopika hawa watu huwa wazi tu!!!!!!

Kukaa uchi chakula kikiiva kinakua kitamu Sana.
 
anatumia nguvu kubwa namna hiyo kiugali kidogo namna hiyo?
 
Back
Top Bottom