Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,404
Mzungu na ugali wapi na wapi?
Sasa huyo ni muafrika? Sidhani kama huyo ndio maisha yake atakua anafanya for fun! Kuna rfk angu alipika semolina last week akapata constipation
Mzungu na ugali wapi na wapi?
Huu ugali utatoka mbichi na una mabuda!!
Sasa huyo ni muafrika? Sidhani kama huyo ndio maisha yake atakua anafanya for fun! Kuna rfk angu alipika semolina last week akapata constipation
Kukaa uchi chakula kikiiva kinakua kitamu Sana.
inawezekana ni muafrica ndio...mimi na wewe hatujui!!! labda aliyepost picha kama anajua atwambie ni muafrica au la!!
Duh! Hiyo picha tu si inaonesha ni mzungu mkuu. Unaeza ukawa muafrika afu una rangi ya kizungu?
hahahah I like the way you think.inawezekana ni muafrica ndio...mimi na wewe hatujui!!! labda aliyepost picha kama anajua atwambie ni muafrica au la!!
Sasa huyo ni muafrika? Sidhani kama huyo ndio maisha yake atakua anafanya for fun! Kuna rfk angu alipika semolina last week akapata constipation
Mabuda ni kama mapande pande ya unga ambayo yanakuwa magumu kuondoka na kuchanganyika ukikosea kusonga ugali hasa kipindi unapoweka unga!wanaita pia mapachu lolnew vocabulary..mabuda ndo nini?
Mabuda ni kama mapande pande ya unga ambayo yanakuwa magumu kuondoka na kuchanganyika ukikosea kusonga ugali hasa kipindi unapoweka unga!wanaita pia mapachu lol
sounds like mabuja to me..but then languages do grow!!!
Kama mzungu anakula dona wewe mdaslamu unakula sembe kwanini?
Ndio maana goli mbili zinawashinda
new vocabulary..mabuda ndo nini?