Leo nimejua siri nyingine ndani ya ndoa.....

Leo nimejua siri nyingine ndani ya ndoa.....

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
6,628
Reaction score
15,743
Unaweza kuishi na mwanamke kwa wema sana tena muda mwingine unajitahidi kutoa msaada wa hali na mali, ukiingia utaona anakuchekea chekea na kukuonesha tabasamu la kinafiki, lakini jamii kwa nje inakuona hivi

1. Wewe ni mwanaume katili huwa unamnyanyasa, na kumpiga kila siku.

2. Mchoyo wa chakula, unamnyima chakula, akipika chakula unakula chote pekeyako.

3. Hujawahi kumnunulia nguo yeye na mtoto, ndio maana anavaa nguo moja iliyochoka😁....na hayo ni machache tu ambayo mwanamke anaweza kukuongelea kwenye jamii bila ya wewe kufahamu...
 
unaweza kuishi na mwanamke kwa wema sana tena muda mwingine unajitahidi kutoa msaada wa hali na mali ,ukiingia utaona anakuchekea chekea na kukuonesha tabasamu la kinafiki, lakini jamii kwa nje inakuona hivi ..1..wewe ni mwanaume katili huwa unamnyanyasa, na kumpiga kila siku. 2..mchoyo wa chakula, unamnyima chakula , akipika chakula unakula chote pekeyako. 3. mfiraji mkubwa..huwa unamfira 4. hujawahi kumnunulia nguo yeye na mtoto , ndio maana anavaa nguo moja iliyochoka😁....na hayo ni machache tu ambayo mwanamke anaweza kukuongelea kwenye jamii bila ya wewe kufahamu...
Usiwekeze trust yako 100% kwa hawa viumbe, and rule of thumb hakikisha yeye ndio kakupenda
Kinyume na hapo you are looking for everlasting pain
 
Back
Top Bottom