NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #121
I can totally understand your point of view lakini still ntajitahidi kumsihi naamini watoto ni kulele na wazazi wote wawiliMy dear....
Kwa kuwa ni masikini (ndio pocha nilopata) ndio avumilie yote?
Kumbuka hayo ndio alosema hakuna ajuae amwvumilia ya kiasi gani
Pia simu ni private kuliko sehemu za sirini eeeh...??? Kutopitia simu ya mume haina maana matatizo hakuna bali ni kuficha kichwa mchangani wakati kiwiliwili kipo nje. Inawezekana wifi mtu anajua tabia za mumewe ndio maana alifukunyua simu......au kuna vitu alivihisi
Wakati mwingine alarm inapiga inabidi kumchubguza.
Hata kama kaka yako kakataa mtoto...... inawezekana kakataa sio wake au kakataa kama kawaida ya wanaume kukana watoto ila mwisho wa siku ina maana aligawa utamu wa mkewe nje
Mwisho wa siku wifi yako atajipanga.....wanasema (ga) tembo hashindwi kubeba mkonga wake....
Ila akubaliane na mumewe way foward kuhusu watoto wao..... maana yeye ndie anayejua viatu alivyovyaa vinambanaaje
na hakuna ndoa isyo na misuko suko,she is a sister to me na nisingependa kumuona anaishi mbali na watoto wake,mume its fine lakini wanawe ndio most important to me..