Mwanamke jifunze uvumilivu

Mwanamke jifunze uvumilivu

Eti wewe umekuja kumsimanga wifi yako sasa!! Hebu get back to the mada na achana na haya! Umeolewa ukisimulia ya wenzio na yako yasimuliwa pia
Kama ndio unavyoona hiyo itakua ni wewe na i wish ningekua na njia ya kukuelewesha more than this,lakini usijali umechangia pia si haba ...
 
Umeona mbali sana dada yangu. Kuna wakati inabid uumie ili watoto wafurahie maisha.
Tatizo ninachomhurumia ni wale watoto 2 ambao siyo wa bro wako. Na ukiangalia wanaume wengi wana hii tabia ya michepuko sana, kwa hiyo anaweza kwenda kwingine akute yale yale.
Km mumewe anamtizimia mahitaji yote akae tu kwa manufaa ya watoto. Ukute hapo hana hata kazi, akitoka hapo anaenda kurundikana nyumbani. Duh!

Km ana kazi aondoke tu ila km hana kazi avumilie tu. Watoto wake wa nje ya ndoa wapate elimu, na wapate kazi ndo aondoke.
Najua wengi watakupinga ila upo sahihi 100% naungana na ww. Km aliweza kuzalishwa watoto 2 anashindwa kuvumilia haya? Km angekuwa hapendi ujinga asingeweza kuzaa watoto 2
I wish binadamu tungekua tuna saidiana mawazo kama hivi lakini kila mtu ana ona sawa ki vyake,wengi wanahisi naingilia ndoa yao lakini sio kweli kama kuna kitu kinaniuma nikuona watoto wanalelewa na single parent na kosa walilogombania ni dogo sana which can be solve,na kwanini watoto wateseke wakati mnaweza mkawapa mapenzi ya wazazi wote wawili,anyway mkuu AHSANTE sana kwakunielewa na ntajitahidi kumshauri huyu Wifi atulie la kaamua hataki sawa..
 
Hapo niko na wewe shosti,yeye ana gari nzuri na kila mwaka anabadilishiwa gari,watoto wana gari ya shule na driver wao
wazazi wake kila mwezi mahitaji yanapelekwa mpaka mwenyewe pesa ana chikichia,watoto wake wanasoma Feza school
shida ndogo ndogo hana mume alimwambia aseme anataka biasharagani kasema kusumbuliwa asubuhi hataki...
Mkuu kwa promo hili ulilomwagia braza wako.... Jiandae kuwa shosti wa mabinti na madada wa jf.... DANGOTE TENA... NANI AKATAE KUOLEWA NA DANGOTEEEE.
NAFASI YA KAZI HIYOOO..... waajiriwa anzeni kutuma maombiii
 
I wish binadamu tungekua tuna saidiana mawazo kama hivi lakini kila mtu ana ona sawa ki vyake,wengi wanahisi naingilia ndoa yao lakini sio kweli kama kuna kitu kinaniuma nikuona watoto wanalelewa na single parent na kosa walilogombania ni dogo sana which can be solve,na kwanini watoto wateseke wakati mnaweza mkawapa mapenzi ya wazazi wote wawili,anyway mkuu AHSANTE sana kwakunielewa na ntajitahidi kumshauri huyu Wifi atulie la kaamua hataki sawa..
Usijali mkuu!
Inabid umshauri dada yangu sbb hapo halipo sidhani km ana kazi na ninavyojua wanaume tulivyo na kisirani hata hao watoto ataacha kuwahudumia na pengine kuwafukuza kwake.
Ila km itatokea wakaachana huyo wifi yako ataanza kukusumbua baadae kifedha au kukushinikiza ukambeleleze kwa kaka yako. Ila km akiwa mgumu muache tu.
Angevumilia kwa ajili ya watoto ingependeza sana, km mwanaume anachepuka ww muache atachoka yy mwenyew. Kikubwa ni kuangalia watoto wanakula wanashiba na wanaenda shule.
 
Nifah i can undestand your point of view lakini hiyo mateso anayoteswa yeye ni yepi? kwanza kilimtuma nini kufungua cm ya mumewe na kupekura? mume hakumwambia kama ana mtoto nje yeye ndio kaenda kuyatafuta na mamake mpaka wakayajua na pia sio sababau he is my bro ndio namtetea lakini na yeye pia wifi yangu ana mapungufu yake as a human
mfano Nifah Being mama mwenye nyumba au mke kweli mumeo anaamka na watoto kwenda kazini wewe umelala?
sio kama una umwa mzima,wewe zako ni Harusi sijui maulidi mara kwenye kufunda mwari upeleke sanduku mda na mume
hunaaaaa yote sawa ameyakubali tulia basi ulee wanao unataka Talaka sijui kama amefikiria sana ila kwangu sitopenda itoke hata kidogo...
Kwa maelezo haya na mie kama mwanaume.... HUYO MWANAMKE HAFAI.... KAKAKO KAVUMILIA SANA ALITAKIWA AWE KESHATOA TALAKA KABLA HAJAOMBWA....

Pole kwa kuwa na wifi mzigo aka mke hewa.

Mtafutie kakako mke naona naye ana tatizo la kuchagua... Anapenda sura haangalii wife material... Single maza then mzigo... Dahhh.
 
mmh ulipoleta hii habari, ungetuletea na historia nzima ya hiyo ndoa, i mean tabia za huyo mwanamke na za kaka yako ili iwe rahisi kuchambua
 
mmh ulipoleta hii habari, ungetuletea na historia nzima ya hiyo ndoa, i mean tabia za huyo mwanamke na za kaka yako ili iwe rahisi kuchambua
Sikuona reason as nilichokua nakuhitajia ni njia yakutatua tatizo...
 
Usijali mkuu!
Inabid umshauri dada yangu sbb hapo halipo sidhani km ana kazi na ninavyojua wanaume tulivyo na kisirani hata hao watoto ataacha kuwahudumia na pengine kuwafukuza kwake.
Ila km itatokea wakaachana huyo wifi yako ataanza kukusumbua baadae kifedha au kukushinikiza ukambeleleze kwa kaka yako. Ila km akiwa mgumu muache tu.
Angevumilia kwa ajili ya watoto ingependeza sana, km mwanaume anachepuka ww muache atachoka yy mwenyew. Kikubwa ni kuangalia watoto wanakula wanashiba na wanaenda shule.
Kwa watoto bro ana wapenda sanaaa watoto wake na wa mkewe mpaka sasa mmoja wa mtoto wa mkewe amekataa kwenda na mama yake yuko kwa bro na sioni sababu ya kurejeshwa kwa mamake labda bro akiamua, namuonea huruma lakini sijui kwa nini ana sikiliza maneno ya watu atajua mwenyewe as wifi nimeongea kiyasi changu na sikumficha outcome
ajue kama akiondoka yeye mwengine ata take over kwahiyo hata akiamua kurudi mwenzie mwengine uenda akawa ndani
sasa bora akiwepo kutakua na uzito...na wanawe ataweza kuwaona 24/7..
 
Kwa maelezo haya na mie kama mwanaume.... HUYO MWANAMKE HAFAI.... KAKAKO KAVUMILIA SANA ALITAKIWA AWE KESHATOA TALAKA KABLA HAJAOMBWA....

Pole kwa kuwa na wifi mzigo aka mke hewa.

Mtafutie kakako mke naona naye ana tatizo la kuchagua... Anapenda sura haangalii wife material... Single maza then mzigo... Dahhh.
Alimuona mkubwa kuliko yeye akajua ndio atakua anafaa na vile ana watoto atakua dunia kaiona vyakutosha,ah haya ndio mambo...
 
Sikuona reason as nilichokua nakuhitajia ni njia yakutatua tatizo...
ni ngumu kutatizo tatizo bila kutatua chanzo, manake nilivyoona maelezo yako moja kwa moja nikaona kwamba wifi yako yuko sahihi kabisa kudai talaka manake hata me ndoa ya kuona mahawara na watoto wa nje siiwezi, sasa kadri comment zinavyokuja na wewe ndo unazidi kufunguka kuhusiana na tabia za wifiyo nikaanza kuwa kwenye dilema, ndo mana nikasema ingekuwa heri tungewajua kwanza
 
Sikuona reason as nilichokua nakuhitajia ni njia yakutatua tatizo...
ni ngumu kutatua tatizo bila kutatua chanzo, manake nilivyoona maelezo yako moja kwa moja nikaona kwamba wifi yako yuko sahihi kabisa kudai talaka manake hata me ndoa ya kuona mahawara na watoto wa nje siiwezi, sasa kadri comment zinavyokuja na wewe ndo unazidi kufunguka kuhusiana na tabia za wifiyo nikaanza kuwa kwenye dilema, ndo mana nikasema ingekuwa heri tungewajua kwanza
 
Hapiki shosti kwanza hajui dada ndio anapika na mashallah hodari sana,nilicheka nilipo muliza why hujawapeleka watoto shule kanijibu kwani wako Chuo kikuu kama wakikosa shule week wata fail,nikamwambia bro hapa inabidi ujikaze hii number kwenye masomo siyo simamia wanao..lol
Hatari
 
Correction lv,kufa ni fardh kila nafsi itaonja mauti na sio sawa kum judge mtu bila kusikiliza kutoka kwake not bcoz he is my brother hata wifi yangu nimemsikiliza na kama utaniamini nia yangu kwa wifi yangu ni safi all i want is her to be happy with her family not otherwise,ila kama ameamua kusema basi siwezi kumzuwia lakini angalau nimejaribu..
Kama kufa kunakubalika kirahisi rahisi hakuna ambaye angehangaikia matibabu, usiwahishe kifo cha mtu tena kwa mateso ya maradhi, unajua kansa ya mlango wa kizazi inasababishwa na ngono zembe? Mwache ajiokoe tu
 
Kama kufa kunakubalika kirahisi rahisi hakuna ambaye angehangaikia matibabu, usiwahishe kifo cha mtu tena kwa mateso ya maradhi, unajua kansa ya mlango wa kizazi inasababishwa na ngono zembe? Mwache ajiokoe tu
Really Doc?
 
Really Doc?
Fuatilia ripoti za tafiti za hivi karibuni kuhusu hiyo kansa, Ina uhusiano na virusi vya HPV ambavyo huenezwa kwa ngono. Inasemekana ndivyo vinavyoleta hiyo kansa kwa mwanamke pale tu mwili ukishuka kinga, watu wengi wanavyo ila hawajajua tayari wanavyo.
 
Huyo wifi yako kashaona fasheni kuachika/kuachwa. Aende tu, hakuna namna. Aache nafasi chombo kipya kiingie mjengoni.
 
Back
Top Bottom