NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #141
43 na bro 32ana miaka mingapi huyo Dada?
43 na bro 32ana miaka mingapi huyo Dada?
sure...asingekua jeuri hvyo na 5kids..amepitia mangapi?!!Atiiiiiii? shosti mbona unanitisha?
amuache..kiroho safi!!43 na bro 32
Unajua baadhi ya wanawake wasio soma ndio tabu yake,na huyu bro kiyasi ya mkute tulimwambia oa mwanamke ambae mnaanza sasa wote maisha hakusikia kamtaka huyu sasaivi anabakia kusema najuta,lakini what i dont understand mbonasure...asingekua jeuri hvyo na 5kids..amepitia mangapi?!!
kisa kumfumania ndo amuache...yy 4days hakupeleka shule watoto,mvivu mbona haachwi tena ukute kaka ako mvumilivu mengine hasemi
wanawake wengi wapenda shughuli washirikina shirikina!
Age yake haitumii vizuri...lol![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
amuache..kiroho safi!!
age difference hiyo huyo mama anampelekesha sana dogo!
M/Mungu anisamehe km na mm nachochea talaka..Ila km umri huo hajui maana ya ndoa let her go!!!
Ni kweli ndoa ni ngumu lakini tusikuabali ndoa zetu zitikiswe kiboya boya kishamba shamba kiasi hiki, mwanaume ni lazima apewe funzo litakalomfanya asiendeleze upuuz wake kwa wenginemy switiieee...!!ndoa ni ngumu mama...!!
ndoa ni ngumu mamaa...!
nimemsoma nimegundua mke ni shida pia!
Acha imani haba hizo wewe, nilichokiona kwa huyo mwanamke ni tabia yake ya kususa Susa na kupenda kubembelezwa! Na mume mwenyewe kampata mbona, anafungasha na kuondoka then mume anamfata!! Kha...wifi yako mshirikina...
sorry to tell u this...ana nguvu za giza zinazomlinda...!
let him divorce her...
mpk hapo she isn't wife material either..!
Hajakwambia anatafuta wa kumlelea,acha wengeAt 43,5 children what do u expect... Umpate nanii wa kulea hao wote
Jenga ndoa yako,achana na ya wifi yako! Kumbuka kwenye msiba kila mtu hulia kwa kushika kichwa chake na si cha mwenzieCorrection lv,kufa ni fardh kila nafsi itaonja mauti na sio sawa kum judge mtu bila kusikiliza kutoka kwake not bcoz he is my brother hata wifi yangu nimemsikiliza na kama utaniamini nia yangu kwa wifi yangu ni safi all i want is her to be happy with her family not otherwise,ila kama ameamua kusema basi siwezi kumzuwia lakini angalau nimejaribu..
Anasusa jitu la 43 hivi kweli jamani!Acha imani haba hizo wewe, nilichokiona kwa huyo mwanamke ni tabia yake ya kususa Susa na kupenda kubembelezwa! Na mume mwenyewe kampata mbona, anafungasha na kuondoka then mume anamfata!! Kha...
Heheh mbona povu as if ndo mlengwa wa ushauri lolHajakwambia anatafuta wa kumlelea,acha wenge
Anasusa jitu la 43 hivi kweli jamani!Acha imani haba hizo wewe, nilichokiona kwa huyo mwanamke ni tabia yake ya kususa Susa na kupenda kubembelezwa! Na mume mwenyewe kampata mbona, anafungasha na kuondoka then mume anamfata!! Kha...
bora angekua kasomaa...Unajua baadhi ya wanawake wasio soma ndio tabu yake,na huyu bro kiyasi ya mkute tulimwambia oa mwanamke ambae mnaanza sasa wote maisha hakusikia kamtaka huyu sasaivi anabakia kusema najuta,lakini what i dont understand mbona
hataki hata maendeleo yake? manake mfano mwambie angalia biashara gani utaweza kufanya ili nikupe mtaji ufanye anakwambia staki tabu kuamka na kupigizana kelele na wa twana,au mumewe anamwambia twende madukani ukaone nna vyo fanya biashara ndio ataamka anaumwa,sasa simuelewi nini anataka,ah atajijua mwenyewe..
Weii kmb ndo hvyo yupo na yy wifi kiruuu mwambie atulize kipoch nanyonya chake.. Tn umwambie waz yy anaweza akawa sababu ya mme kutoka nje amejichunguza vyema au anaomba talaka km kaonewa?Nifah i can undestand your point of view lakini hiyo mateso anayoteswa yeye ni yepi? kwanza kilimtuma nini kufungua cm ya mumewe na kupekura? mume hakumwambia kama ana mtoto nje yeye ndio kaenda kuyatafuta na mamake mpaka wakayajua na pia sio sababau he is my bro ndio namtetea lakini na yeye pia wifi yangu ana mapungufu yake as a human
mfano Nifah Being mama mwenye nyumba au mke kweli mumeo anaamka na watoto kwenda kazini wewe umelala?
sio kama una umwa mzima,wewe zako ni Harusi sijui maulidi mara kwenye kufunda mwari upeleke sanduku mda na mume
hunaaaaa yote sawa ameyakubali tulia basi ulee wanao unataka Talaka sijui kama amefikiria sana ila kwangu sitopenda itoke hata kidogo...
Wooooowi wish niweze ku like hadi mara 100

Huyo wifi ana gar kashndwa nn kupeleka watt school et driver anaumwa chaa! Kwahyo dd wa kaz akiumwa yy hapikii wanawe uyo... Anahitaji kufundwa bd hajatambua nafas yakeMkuu sio salama lakini watu kugombana ni kawaida na wifi yangu hua akikasirika kidogo tuu niache,kuna siku driver wakupeleka watoto shule alikua anaumwa,sasa bro alikua safarini yeye yupo nyumbani hakupeleka watoto school siku4
mpaka driver amepona alipoja bro anamwambia kwanini usiwapeleke watoto shule? kasema nilikua na usingizi bro akamgombeza basi kafungasha nguo zake anamwambia talaka yangu nilete kwetu,sasa simuelewi mie huyu mwanamke
lakini inabidi tumchukulie nikamwambia bro nenda kamrudishe kwa ajili ya watoto...
Anamfata mara nyingi sanaaaaa tuu,hata last month hakupeleka watoto shule mume alipomwambia kwanini hukupeleka watoto kanuna kaenda kwao,week nzima bro later kamfata,amezowea lakini ndio tumchukulie tena..Acha imani haba hizo wewe, nilichokiona kwa huyo mwanamke ni tabia yake ya kususa Susa na kupenda kubembelezwa! Na mume mwenyewe kampata mbona, anafungasha na kuondoka then mume anamfata!! Kha...
LOL Niachie wifi yangu mie hahahaha..![]()
![]()
bora angekua kasomaa...
ingesaidia kidogo..!!
haya ht biashara hajui yy anajua kusasambua tu na kutunza kwenye Hakika..na harusini...!!
Huyo kaka yenu mtamkosa buree...!
Wanawake na sisi tuna yetu ndo maana anachepuka kumbe....!!!
Anajja kutumia kutafuta hawezii!!
Halafu huyo Dada atakuwa mtu wa mwambao huyooi!!mwinyii
wifi yako anandhalilisha bwanaa...!!LOL Niachie wifi yangu mie hahahaha..
Hapiki shosti kwanza hajui dada ndio anapika na mashallah hodari sana,nilicheka nilipo muliza why hujawapeleka watoto shule kanijibu kwani wako Chuo kikuu kama wakikosa shule week wata fail,nikamwambia bro hapa inabidi ujikaze hii number kwenye masomo siyo simamia wanao..lolHuyo wifi ni kiazi ana gar kashndwa nn kupeleka watt school et driver anaumwa chaa! Kwahyo dd wa kaz akiumwa yy hapikii wanawe uyo... Anahitaji kufundwa bd hajatambua nafas yake