Mwanamke bikra na asiye bikra

Mwanamke bikra na asiye bikra

Siku tatu nzima? basi una puncture ya dushe.
Kidogo kidogo ina raha yake! Ni miaka sasa imepita kaolewa na anawatoto 2. Lakini akinipigia cm ambacho huwa hasahau ni ile kidogo kidogo ( husema kwa maskhara)

unajua bikra kwa mwanamke ndo talanta (tunu) aliopewa bure" wakati wa kuitoa humwachia kumbukumbu mbaya au nzuri, inategemea weledi wa mtoaji" ila amini usiami, kidogo kidogo inaraha saana kwa wote!!
 
Kidogo kidogo ina raha yake! Ni miaka sasa imepita kaolewa na anawatoto 2. Lakini akinipigia cm ambacho huwa hasahau ni ile kidogo kidogo ( husema kwa maskhara)

unajua bikra kwa mwanamke ndo talanta (tunu) aliopewa bure" wakati wa kuitoa humwachia kumbukumbu mbaya au nzuri, inategemea weledi wa mtoaji" ila amini usiami, kidogo kidogo inaraha saana kwa wote!!
Basi sawa,hapo nimekubali,yaani mdogo mdogo au vipi?
 
kwasababu si wanawake wote wanaozaliwa na hymen, na pia inaweza kutoka kwasababu mbalimbali swala la kukagua mwanamke kuwa ana bikra au la katika jamii mbali mbali duniani limeonekana ni unyanyasaji na nilakijinga
Wapi mkuu?shida ya mwanadamu akisha vurunda anatafuta haki kwa njia yakujihesabia haki kwa gharama yeyote.
Mungu si mwanadam hata aseme uongo.

Imeandikwa wapi kutafuta mke bora kwamba unaadhalilisha wanawake?

Tafiti batili,tafiti zilizopotosha jamii,tafiti zilizopelekea ushoga kuenea Duniani yani wakipingwa eti nao wanahaki yakuoa na kuolewa..Ubatili mtupu.
 
It is sad kua some pipo in this thread are very primitive,naive, selfish and somehow immature... Why would you want to eat your cake and have it? Unakuta mtu katika historia yake katoa bikra tano sita na zaidi then anatafuta bikra...unategemea uliowatoa wataolewa na nani??? Pili nyie wanaume skuizi hamtaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia! Mnategemea nini? Like seriously!!! FYI mwanamke kua bikra or not haimaanishi kua mtakua na perfect marriage.. Marriage is more than just being virgin...please be informed..
 
kwasababu si wanawake wote wanaozaliwa na hymen, na pia inaweza kutoka kwasababu mbalimbali swala la kukagua mwanamke kuwa ana bikra au la katika jamii mbali mbali duniani limeonekana ni unyanyasaji na nilakijinga
You are correct
 
Hujui Kiswahili? kujua ndiyo sex
Mambo sio mepesi kama unavyofikiria mkuu..

Let me make this thing Clear...
Unaelewa nini kuhusu Sex...?

Nakuuliza hivyo Coz kila mtu amekuwa akiitafrisi Sex ili kulinda hoja yake..
 
Kwani bikra sikuhiz wapo basii? Tushakuwa kama wazungu yani kila mwanamke wa 20+ years ashaonja dushe kadhaa
 
Wakuu kwa wale wadau wa jukwaa la wakubwa naomba kujua namna ya kujiunga
 
Kile unachokijua ndo kitamu, ni mpaka ujaribu kingine ndo uanze Ku compare" na ndo mwanamke bikra alivo. Anamjua bwana wake tu ndo mtamu mwingine ni mpaka ajaribu"

Hawa ( used) ni kuvumiliana tu ladha nyingi anazijua, akikucompare na x wake anakua anakuchora tu"
Daah umenena mkuu hawa watu hawako fair kabisa labda upate bahati tu na uwe mvumilivu au uwetayar kwa lolote mda wowote
 
Kile unachokijua ndo kitamu, ni mpaka ujaribu kingine ndo uanze Ku compare" na ndo mwanamke bikra alivo. Anamjua bwana wake tu ndo mtamu mwingine ni mpaka ajaribu"

Hawa ( used) ni kuvumiliana tu ladha nyingi anazijua, akikucompare na x wake anakua anakuchora tu"
u said it all. ila sio ana kuchora bali anakuangalia tu bhana. kwani huwa anakuwa na pencil mkononi?
 
Back
Top Bottom