Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,958
Huyu unaeongea naye ni mzee wa 58yrs nilichotaka kusisitiza ni kuwa uaminifu uwe kwa wote ili kuleta usawaPoleni kwa yaliyokukuta Odhiambo!
Sasa nikuambie tu!
Huyo alikufanyia hivyo ndio mme wako( au unaweza kumuita HERO wako), huyo ulienae sasa hivi anamtunzia tu huyo HERO.
note: mwanaume ataendelea kuwa mwanaume,
mwanamke ataendelea kuwa mwanamke...! nyie mpo sealed.
Bikra zingine hutoka kulingana na mazingira ya makuzi e.g. binti wa Usukumani anaanza kutumia baiskeli ktk age 9yrs kufuata maji na kusaga vyakula huyo ubikra atautoa wapi ?! Ukioa angalia uamifu wa mkeo basi