baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,681
- 12,546
ukioa mwanamke asie BIKIRA, mkuu.. hapo umeoa MKE WA MTU.
Ngumu kumeza
ukioa mwanamke asie BIKIRA, mkuu.. hapo umeoa MKE WA MTU.
Kati ya coment zoteeee kwangu hii ndo nimeona point ubarikiwe mkuunimeshakutana na mabkra kadhaa isipokuwa linapokuja suala la kuoa ukizingatia kigezo hiki cha ubikra unaweza kupoteza muda wako wengine hawafai hata kuoa,wapo wanawake waliolewa hawakuwa na hii kitu na wako smart sana /dhana ya kuwa mwanamme wa kwanza hasauliki kwa mwanamke bikra haifanyi kazi kwa wote akikutana na anajua kucheza na hisia zake vizuri wewe wa kwanza anakutupa kwenye dustbin.
Kile unachokijua ndo kitamu, ni mpaka ujaribu kingine ndo uanze Ku compare" na ndo mwanamke bikra alivo. Anamjua bwana wake tu ndo mtamu mwingine ni mpaka ajaribu"
Hawa ( used) ni kuvumiliana tu ladha nyingi anazijua, akikucompare na x wake anakua anakuchora tu"

Hana huruma kabisa watu tupo msibani.jamani faru john mungu akuweke pema peponi.Nchi nzima tunaomboleza kifo cha faru John,wew huna huruma kabisa.
mnazungumzia bikra ya mtandao upi, voda au tigo???
kama voda, kweli si rahisi kuipata na sijui anafanyaga kazi ya kubandua na kusepa
Zipo huku kwetu, huko kwenu viiip???mmmmmmmmmmmmmmmmh! hivi bado hizo bikira zipo miaka hii???
Nakuunga mkono ndugu.. Mimi binafsi mwanamke bikira naona anazingua tu ; hana uzoefu, kelele nyingi, nikitaka kusukuma nanga mpaka kinani tabu tupuu.. Kwa ufupi Shughuli Yangu pevu na nahitaji nguli mtu.Naomba niweke mawazo yakinifu, kila kazi inataka uzoefu. Kwa mantiki hiyo basi, huwezi kuoa mwanamke asiye na uzoefu, kimsingi unatakiwa uoe mwanamke aliye wahi kuolewa akaachika achilia mbali asiye na bikira. Vitu vingine tumia akili yako na siyo ya kuambiwa
Nijuze juu ya HYMEN tafadhaliSi wanawake wote waliozaliwa na hymen, wanaume wengi na jamii zetu hawaelewi hicho kitu. wapo wanawake hawajaziliwa na hymen hivyo wanaonekana si Bikira,. swala la Bikira hata mwanaune unatakiwa uwe Bikira sio swala la mwanamke tu.
Hatuongelei swala la Ujuzi ama utundu kitandani..hoja hapa ni Iko wapi heshima ya mwanamke ktk kuolewa..yaani uaminifu katika kujitunza na hatimae kuolewa akiwa Bikira.Nakuunga mkono ndugu.. Mimi binafsi mwanamke bikira naona anazingua tu ; hana uzoefu, kelele nyingi, nikitaka kusukuma nanga mpaka kinani tabu tupuu.. Kwa ufupi Shughuli Yangu pevu na nahitaji nguli mtu.
....mkiingia vitani Shughuli inakuwa pevu... Wanawake bikira nawaachieni Nyie mpendavyo vya rahisi.