Kiuhalisia na Kiroho...hii ni KWELIukioa mwanamke asie BIKIRA, mkuu.. hapo umeoa MKE WA MTU.
kwani hizo bikra wanazitoa peke yao me nadhani tatizo ni mporomoko wamaadili ktk jamii pmj nautandawazi kutaka kujaribu kila kitu...enyi wanaume tusiwatoe mabinti bikra kabla ya ndoa tuone km bikara zitakua zakutafuta km wafanyakaz hewa
Kisha unaskia jamaa kaoa!Aibu kuu Marufuku mwanangu kuniletea SUGU eti ndio wife...thubutu!!




kwahiyo unataka kuoa mke wa watuSaikolijia ya mwanamke ni zaidi ya unavyoifahamu.
Utaoa bikra na atakusaliti na utaoa asie bikra na hata kusaliti..
Wapi nimesema hivyo?kwahiyo unataka kuoa mke wa watu
kwa aina ya uandishi wako ni wazi unataka hivyo, haiwezekani usapoti kuoa mwanamke aasiye na bikraWapi nimesema hivyo?
Zipo mkuu october nimeitoa ya form sixKupata bikra labda uwahi wa shule ya msingi
Duh! Town (mkoa gani) au kijijini?Zipo mkuu october nimeitoa ya form six
Dar town tena sinzaDuh! Town (mkoa gani) au kijijini?
Rudi kusoma nlichoandika.kwa aina ya uandishi wako ni wazi unataka hivyo, haiwezekani usapoti kuoa mwanamke aasiye na bikra
Wanawake wengi walishakuwa sugu baada yakujiachia kwa muda mrefu..
Nyie wanaume mnaweza kujitunza mpaka kufikia kuoa ?! Au mkuki kwa mwanamke !!ukioa mwanamke asie BIKIRA, mkuu.. hapo umeoa MKE WA MTU.
Usimfananishe mwanaume na mwanamke..Nyie wanaume mnaweza kujitunza mpaka kufikia kuoa ?! Au mkuki kwa mwanamke !!
Swali ni kuwa unaweza kujitunza ?!. Hayo unayoyasema ni mambo ya jadi je waweza kujitunza mpaka kufikia ndoaUsimfananishe mwanaume na mwanamke..
Mungu ana makusudi yake kumpa mwanamke ubikira, na kumuacha mwanaume huru..
Tunza sana Usichana wako, Usipende kujilinganisha na mwanaume... ndoa zitakushinda