Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
- Thread starter
- #41
Uharibifu mwingine bwana. Yaani sie waafrika tuna tabia za kijinga kweli. Kama uchawi ama nguvu za giza zina maendeleo kwanini tusitumie hiyo njia kutuletea maendeleo? Kigoma pia wana kamchezo kama haka ama kukujoa dagaa kwa kina baba, yaani unakojoa dagaa mpaka unalia kwa uchungu jinsi dagaa anavyokwangua dushelele. Binafsi naelewa kwanini watu wanatoka nje ya ndoa kwani hakuna binadamu anayefanya kitu bila kuwa na sababu, wote tunaelewa hivyo. Kuna walio wengi tu hawana furaha na ndoa zao na suluhisho ni hilo kutoka na machangu ama kuwa na serengeti boy wa kujiliwaza naye ila si kuachana na wapenzi wao kwani vya kupoteza ni vingi mno kama: watoto, urithi, na other securities. Lazima tujuwe kwamba mwanamke aliyeolewa ama aliye kwenye mahusiano akitoka nje ya ndoa yake si kwa sababu yeye ni malaya lahasha, mara nyingi ni kwa sababu kuna kitu anakosa nyumbani kwake, na mwanamme ni hivyo hivyo na ndiyo maana tulio wengi tunatoka nje ya ndoa zetu si kwa sababu hatupendi partners zetu bali kutafuta raha mwanana ama utamu wa kitu roho inapenda pamoja na kupata radha tofauti. Msemo wa kusema kwamba chakula kile kile wapishi tofauti ni ujinga, huwezi fananisha utamu asili wa kitandani na chakula. Utamu asili wa kitandani una utamu wake na utamu huo unatokana na utundu wa wachezaji washiriki. Nawakilisha, japo mnanisonya lakini habari ndiyo hiyooooo!
CC: Waziri wa Afya, Mh. MziziMkavu (Mb. JF)
Hii ni sayansi yetu waafrika mkuu lazima tuitumie kumwangamiza adui yako, wenzetu wazangu nao wanatumia sayansi zao kukabiliana na adui ila kwa njia tofauti na zetu waafrika lengo ni moja kumwadhibu adui.