Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Hii ni sayansi yetu waafrika mkuu lazima tuitumie kumwangamiza adui yako, wenzetu wazangu nao wanatumia sayansi zao kukabiliana na adui ila kwa njia tofauti na zetu waafrika lengo ni moja kumwadhibu adui.
Wazungu wanatumia akili na ni open science to everyone with brains, ila sie tunatumi roho mbaya na nguvu za giza kuangamiza hata walio na haki ili tu kuharibu mazingira. Ndiyo maana sehemu yeyote inayoendekeza uchawi hapa Africa/duniani haina maendeleo.