Mwanamke anapobebeshwa yasiyomuhusu!


1. Inakupasa ujue kuwa Eva aliondoka na kwenda kuzurura peke yake bila mumewe. Walikuwa mwili mmoja so hakutakiwa kumuacha mumewe...

2. Adam hakujua lile tunda lilichumwa toka mti gani maana hakuwepo wakati linachumwa! So angekataaje kula wakati kapewa na mkewe aliyemuamini 100% kama sehemu ya mwili wake!

3. Mara baada tu ya kupewa tunda, Eva alikula. Kwa nini hakwenda kumuuliza Adam kuhusu kula tunda la mti wa kati kabla ya kula?

4. Adam alikuwepo kabla ya Eva. Kwa nini nyoka (shetani) hakumdanganya Adam siku zoote hizo kabla ya Eva kuwepo? Kwa nini nyoka aliona urahisi kumdanganya Eva? na hakuwaza kumdanganya Adam?

Sioni kwa nini Eva asilaumiwe
 

umeona eeh! very true, tabia za Adamu zipo refrected kwenye tabia nyingi za wanaume kwa sasa. they never admit their mistakes, they never apologize, lazima wasingizie wengine. mambo yangekuwa marahisi kama wangekuwa wanakubali makosa na kuomba misamaha
 
yaani mwanangu Zinduna hapa umeoongea kabisa na umenifurahisha kabisa

nimequote:
Ukweli ni kwamba hakuna kwenye vitabu vyote viwili vya hizi dini zetu maarufu hapa nchini ambapo kuna mahali panaonyesha kuwa mwanamke ndiye chanzo au aliyelaanika kwa kumlaghai Adam kula tunda la mti wa katikati. Ni tafsiri tu iliyotengenezwa ili kuupa nguvu mfumo dume na kumkandamiza mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
utahitaji ushauri wa kisaikolojia nadhani ushavurugwa kichwani wewe
nyie mna tabia mby sana tena mnatia kinyaa kabisa
 
Kama adam na Hawa hawana makosa, nini maana ya sisi binadamu kuwa na dhambi ya asili. Na kwa nn tule kwa jasho na kuzaa kwa uchungu. Ni kwa nn tufe.

....Ahsante ndugu yangu,nadhani hujanifahamu point yangu,kwa mama yetu(Eve na Adam)kula lile tunda la katikati ndio Hekima ya M.Mungu ili nasi tuzaliwe ndio maana tukaitwa Bin-Adam(kwa maana woye sisi ni kizazi cha Adam)then ndio likaja neno Binadam,kwa maana hio ndipo Adamu akatubu na kusamehewa dhambi yake,kwa maana hio Dhambi ya asili haipo tena bali hayo unayoyasoma kwenye maamndiko matakatifu ni maneno ya waandishi na sio ya Mungu,kuh kwanini tufe hio ni kudra ya Mungu kwa vile Mitume na Manabii wamekufa basi hata na sisi tutakufa,lakini sio eti kwa sababu ya dhambi ya asili
 

swali langu hasa lilikuwa ni kwamba, kwanini shetani hajidhihirishi na kuonekana wazi?

kwanini iwe roho?

naomba nieleweshwe hapo!

(if am off topic, take it easy!)
 
swali langu hasa lilikuwa ni kwamba, kwanini shetani hajidhihirishi na kuonekana wazi?

Kilichoumbwa katika roho hubakia kuwa katika roho mkuu...
shetani au lucifer ni roho iliyohai ambayo haina mwili hivyo huwezi kulazimisha tu kuwa aonekane katika mwili...

Zaidi vilivyo katika roho huishi katika ulimwengu wa roho ambao sio tangible...

Ukisikia mtu kamuona Mungu, malaika au shetani siku zote tambua sio kwa naked eyes bali roho ya mtu huyo ndio imeonana na hao niliowataja...

kwanini iwe roho?

Kwa sababu ndivyo ilivyoumbwa...it's purpose was to serve in a spirital world and not a physical one.

Kila kilichoumbwa na Mungu kiliumbwa kwa kusudi fulani na kilipewa mamlaka fulani na mamlaka hizo zina mipaka fulani...
 
Mmmh!!!

Naona mnaamua tu kuukwepa ukweli kwa nia ya kuzifurahisha nafsi zenu...

 
Last edited by a moderator:
the truth is hidden, lakini inasemekana kwamba shetani (malaika mkuu mstaafu) alimuingia nyoka na kufanya uovu kupitia yeye!

but siamini kiumbe kama huyu anawezaongea..!

but maandiko yanasema nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwituni aliowaumba bwana mungu, sasa kama imeandikwa inabidi uamini tu kwani hata kuuelezea uerevu wa nyoka nadhani itakupa shida, istoshe unayo knowlege limited kuhusu nyoka, kuna cobra, chatu, anakonda, kifutu, n.k. sidhani kama unaweza kuntajia ni aina ipi kati yao. no way
 
swali langu hasa lilikuwa ni kwamba, kwanini shetani hajidhihirishi na kuonekana wazi?

kwanini iwe roho?

naomba nieleweshwe hapo!

(if am off topic, take it easy!)

Umejuaje kuwa haonekani?
Umejuaje kuwa ni roho?

Unajua kama roho zipo?
 

Unaweza kuthibitisha kuwa haya maelezo "yaliyokufurahisha" kuwa ni kweli??
 
Zinduna mimi ndiyo maana, huwa sihangaiki maana najua mwanaume halali bila kunyonya, maana ni watoto wasiokuwa, hata awe na madegree mangapi, awe na mafedha kiasi gani akirudi nyumbani kabla ya kulala ananyonya. So Asprin anaposema hakuna mwanaume mnjanja mbele ya tunda hilo ni kweli kabisa naunga mkono hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…