alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 280
Hapo mwisho kwenye red: Kwamba Eva alikula kwanza, then akampa Adam nae akala:
My take: Eva alifanywa kwanza, then baada ya kuexperience Ile ladha ndio akampa na adam. Hii ina manisha Eva alifanya kwanza na mtu mwingine sio Adam. Na Huyo mwingine ni Huyo nyoka, which is Lucifer. Kwa hiyo mwanamke ni msaliti wa enzi. Na ndivyo walivyo hata leo. No matter what
Kwani tunda linalosemwa ni K au ni fruits