venine
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 1,458
- 1,571
Afu ka kasichana kenzako kanaitwa Zinduna kanabiśha eti Eva si wa kubebeşhwa lawana. Kama si tamaa aka nyege za Eva, Adam aśingekulamo naniliu. Kalimsedyuz braza wetu hako kaEva.
Hujanielewa! sijasema Eva abebeshwe lawama, najaribu kukuonyesha ni jinsi gani wanaume mmezoea kuwalaumu wengine kwa kushindwa kwenu kufikiri, na kufanya maamuzi sahihi, na kwa udhaifu wenu wenyewe. mwisho wa siku lazima mtafute wa kumbebesha mizigo ya lawama.
my point is "try to take responsibilities for your own actions", msitulaumu wanawake. hata wakati wa Adamu na Eva, mwanaume hakulazimishwa kula tunda, alikula huku akiwa na ufahamu wake na akijua madhara yote yanayoweza kumpata, lakini bado alikula.
je bado unataka kutulaumu kwa nyie kuwa weak mnapokuwa na sisi?
C.C Zinduna
Last edited by a moderator: