Hivi Adam hakuumbwa na ubongo na hakuwa na uwezo wa kufikiri
Umeona hata huo utetezi wa Adam ulikuwa ni wa kuepuka lawama na hivyo ndiyo wanaume wengi walivyo haa leo hii jambo lolote likineda hovyo lawama zinaelekezwa kwa mwanamke.Zinduna ukiendelea kusoma kifungu cha 9 na kuendelea bado utaona kuwa mwanamke ndiye aliyeleta kadhia yote...
Soma kwa makini maelezo yaliyo katika rangi nyekundu...
9 Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?
10 Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha.
11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale?
12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
13 Bwana Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala.
Huu nao ni uongo mwingineQuran imewataja wanawake hivi;- "hakika hii ni miongoni mwa vitimbi vyenu wanawake kwani vitimbi vyenu ni vikubwa mno" (surat yusuf). Sio Adam tu alieshawishiwa na mwanamke, umemsahau Yusuf? Mke wa mfamle alimfanyia mengi mpaka akafungwa yusuf bila kosa lolote, wanawake ni viumbe waajabu sana
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?
we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
Zinduna soma kwa makini maandishi mekundu...pia elewa maongezi yalianza baina ya nani na nani?
Mwanzo 3
1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?
2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;
3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Quran imewataja wanawake hivi;- "hakika hii ni miongoni mwa vitimbi vyenu wanawake kwani vitimbi vyenu ni vikubwa mno" (surat yusuf). Sio Adam tu alieshawishiwa na mwanamke, umemsahau Yusuf? Mke wa mfamle alimfanyia mengi mpaka akafungwa yusuf bila kosa lolote, wanawake ni viumbe waajabu sana
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?
we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
Hivi hilo tunda ni lipi?ni kitu gani?
Kimsingi wanyama wote wana lugha na kwa namna Mungu alivyomuumba mtu wa kwanza ambaye ni Adamu, alikuwa na uwezo wa kuwasiliana na kila mnyama hivyo suala la nyoka kuongea na Adamu wala lisikushangaze.
Pili, shetani ni roho yaani hana mwili.
Ili kutimiza lengo lake la kupotosha uumbaji wa Mungu, alitumia mwili wa nyoka "vessel" ili apate kuongea na mtu (Hawa).
Hivyo kwa jinsi ya mwili ni nyoka aliyekuwa akiongea lakini kwa jinsi ya roho ni shetani aliyekuwa akionge.
Kwa hiyo unathibitisha hapa kwamba wanaume ni dhaifu.Na kwenye bible kuna kidemu kinaitwa Delila. kilimseduce Samson mpaka akachemka. Zinduna hajawahi ona mahausigelo wanavyowapelekesha mabosi wao tena wasomi tu, anashangaa Adam kushawishiwa na Eva.
Lile tunda halina mwanamme mjanja dhidi yake.
Nmecheka sana lugha ya picha hahaa lol...nyoka nyoka nyoka nyoka.
Lile tunda mnalolimiliki na ambalo limeleta majanga duniani.
CC: cacico, Lisa, Nivea, BADILI TABIA, King'ast, Karucee, miss chagga, miss wa kinyaru, Ennie, gfsonwin, Preta, MwanajamiiOne, Husninyo, Mamndenyi, lara 1Na kwenye bible kuna kidemu kinaitwa Delila. kilimseduce Samson mpaka akachemka. Zinduna hajawahi ona mahausigelo wanavyowapelekesha mabosi wao tena wasomi tu, anashangaa Adam kushawishiwa na Eva.
Lile tunda halina mwanamme mjanja dhidi yake.
Umeona hata huo utetezi wa Adam ulikuwa ni wa kuepuka lawama na hivyo ndiyo wanaume wengi walivyo haa leo hii jambo lolote likineda hovyo lawama zinaelekezwa kwa mwanamke.
Umeona hata huo utetezi wa Adam ulikuwa ni wa kuepuka lawama na hivyo ndiyo wanaume wengi walivyo haa leo hii jambo lolote likineda hovyo lawama zinaelekezwa kwa mwanamke.
Zinduna soma kwa makini maandishi mekundu...pia elewa maongezi yalianza baina ya nani na nani?
Mwanzo 3
1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?
2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;
3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Kwa hiyo unathibitisha hapa kwamba wanaume ni dhaifu.
Au?