Titia
Senior Member
- Jul 3, 2013
- 155
- 114
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?
we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
duh umenichekesha aisee!!!!
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?
we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
ukiangalia kwa mtazamo mwingine, mpaka leo wanawake wana nguvu kubwa ya ushawishi kwa wanaume.
mwanaume hata akiwa powerful kiasi gani akikutana na mwanamke ampendae anakuwa mdogo kama Asprin, na akili za kufikiria yeye mwenyewe zinapotea kwa muda, huwa zinakuja baadae kama ilivyokuwa kwa Adam.
pia mpaka leo mkifanya makosa huwa mnasingizia wengine kama Adam... wanaume wengi wakifeli kimaisha wanasingizia wake zao
that's woman power, ndio maana mkiambiwa baby pesa ya saloon kilo moja tu, mnatoa tu potelea mbali hata kama we mwenyewe ukilala na njaa. halafu baadae mnalalamika wanawake wanawachuna wkt hela ulitoa bila kushukiwa bastola
If women didn't exist, all the money in the world would have no meaning. Aristotle Onassis
Ndivyo biblia imetanabaisha kuwa tunda la mti wa katikati kwamba kuwa mjuvi wa mema na mabaya,
na ndilo lililokatazwa.
Je hayo ya bustanini yalo kuwa ruksa ni yepi?
Kwamba tunapaswa kujua vitu vinavyotusaidia tu?
Yes ....!!!
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?
we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?
Safi sana. Óngeza bidii.
Lazima itakuwa ya kike.
Tukujua hili litatusaidia nini??
thanx my ndugu ni kifungu kipi cha bible kinasema nyoka alikuwa ni ke? maana wengine hatuijui vizuri bible
ukiangalia kwa mtazamo mwingine, mpaka leo wanawake wana nguvu kubwa ya ushawishi kwa wanaume.
mwanaume hata akiwa powerful kiasi gani akikutana na mwanamke ampendae anakuwa mdogo kama asprin, na akili za kufikiria yeye mwenyewe zinapotea kwa muda, huwa zinakuja baadae kama ilivyokuwa kwa Adam.
pia mpaka leo mkifanya makosa huwa mnasingizia wengine kama Adam... wanaume wengi wakifeli kimaisha wanasingizia wake zao
that's woman power, ndio maana mkiambiwa baby pesa ya saloon kilo moja tu, mnatoa tu potelea mbali hata kama we mwenyewe ukilala na njaa. halafu baadae mnalalamika wanawake wanawachuna wkt hela ulitoa bila kushukiwa bastola
If women didnt exist, all the money in the world would have no meaning. Aristotle Onassis
Mengine yote ......!!!!!!!
Haina haja ya kuandikwa hiyo. Ule ulaghai alioufanya automakikale wajanja tunakonkludi nyoka alikuwa demu.
Hahaha!!
Kuna raia mna maswali khaaa!! mkuu hakuna mahali palipoandikwa jinsia ya huyo nyoka.
Ulikuwa unataka kuibua hoja gani hapa?
kwa hiyo unatamka kusema nyoka anayezungumzwa ni the african snake anayekaa kwenye pants na boxer???kwa hiyo unataka kutuambia kwamba zamani nyoka alikuwa anaongea?
we huoni kwamba kuna lugha ya picha hapo?