AFRIKAN GUY
Senior Member
- Jun 26, 2015
- 102
- 110
Hizo hadithi za vitabu vya Dini wengi tunavichukulia kama za uwongo kwa sababu ni zakufikirika. lakini jua kwamba kunatofauti kati ya uwongo na kufikirika. Hadithi hizo ni za kufikirika lakini Sio za uwongo.
Hadithi hizi ni ukweli wenyewe WA maisha ya mtu. Zimebeba ukweli mkubwa kuhusu maisha ya mtu.
Mfano Hali ya Adam na Eva kukubaliana kula tunda ili wawe zaidi ya mipaka ya utu wao.
Pia: hali ya Kaini na uzao wake kua Na Obsessed na teknolojia, kama matokeo ya kushindwa kufanya necessary sacrifices kwaajili ya Kuulinda Utu wao.
Technologia Ndio mwisho wetu, taratibu tunavyo kua na technologia kubwa Ndio mwisho wetu kama watu.
Hadithi hizi ni ukweli wenyewe WA maisha ya mtu. Zimebeba ukweli mkubwa kuhusu maisha ya mtu.
Mfano Hali ya Adam na Eva kukubaliana kula tunda ili wawe zaidi ya mipaka ya utu wao.
Pia: hali ya Kaini na uzao wake kua Na Obsessed na teknolojia, kama matokeo ya kushindwa kufanya necessary sacrifices kwaajili ya Kuulinda Utu wao.
Technologia Ndio mwisho wetu, taratibu tunavyo kua na technologia kubwa Ndio mwisho wetu kama watu.