Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,071
Huenda nchi hii kuna utaahira wa kiwango cha juu kuwahi kutokea, kuanzia kwa wagombea mpaka kwa viongozi wanaopitisha wagombea. Hilo chaka la viti maalum ni mfano hai. Kama hujui tu, zaidi ya nusu ya wabunge wa viti maalum unao waona bungeni basi tambua tu, wanawake wale waliwahi kuwa wabunge hapo kabla.
Yaani, mwanamke aliyewahi kuwa mbunge (ama wa kuchaguliwa, kuteuliwa na rais au viti maalum) unamuona tena akipambana kurejea bungeni kwa kiti maalum!
Nitaweka mifano michache hapa ya wanasiasa ambao walishawahi kuwa wabunge lakini baadaye wakarejea au wakataka kurejea bungeni kwa ubunge wa viti maalum.
1. Halima Mdee
2. Ritha Mlaki
3. Esther Bulaya
4. Dr. Asharose Migiro
5. Esther Matiko
6. Balozi Mula Mula
7. Kaboyeka
8. Angela Kairuki
Yaani, mwanamke aliyewahi kuwa mbunge (ama wa kuchaguliwa, kuteuliwa na rais au viti maalum) unamuona tena akipambana kurejea bungeni kwa kiti maalum!
Nitaweka mifano michache hapa ya wanasiasa ambao walishawahi kuwa wabunge lakini baadaye wakarejea au wakataka kurejea bungeni kwa ubunge wa viti maalum.
1. Halima Mdee
2. Ritha Mlaki
3. Esther Bulaya
4. Dr. Asharose Migiro
5. Esther Matiko
6. Balozi Mula Mula
7. Kaboyeka
8. Angela Kairuki