Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,402
Sasa kama alifanya mambo makubwa kiasi hicho kwa nini msiache hayo mambo makubwa yamtangaze?Kwa nini mnakaukiwa koo kwa kumpigia debe badala ya kuacha hayo mambo makubwa yamtangaze?Barabara hakujenga?!!..nazungumzia miundombinu ya barabara na mitaro huko kibada,maji matitu n.k