Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

Mkuu philophy weka namba yako nikupe mbebezi aliniomba nimtafutie mume.
 
Last edited by a moderator:
Aisee sina hamu na hawa watu wa kutafuta mwenza humu ndani. Mi kweli nahitaji mume, sasa niluvokuta mtu katoa tangazo humu nkasema hebu nijaribu bahati yangu... kweli nikampm, akarespond vizuriiiii... thanx Lord ckuanza na makeke maana nngechanwaje viwembeeeeeee... mmmh sasa baada ya cku mbili, c nkapigiwa cm na mdada alojitambulisha kama mkeweeeeeee.. bahati nzuri nlikuwa nkituma msg namuita bro hiyo ndo pona pona yangu.
Sasa yule mama alivonipigia aliniuliza ivi wewee unajua unachati na mume wa mtuuuu????? nkawa mpole na kumwambia apitie msg zote aone km kuna za mapenzi, jamani neno kaka na kuwa na subra kuliniokoa maaana ikabidi bi mkubwa ashushe jazba na kuniomba msamaha na kudai eti alikosea nambaaa..... Pipoz mnaotafuta wenza humu ndan muwe serious, ni kweli wengine tinahitaji mume asa kwa staili ya kudanganya sio vizuriiiiii tutasababishiana matatizo humuuuuuu
 
Aisee sina hamu na hawa watu wa kutafuta mwenza humu ndani. Mi kweli nahitaji mume, sasa niluvokuta mtu katoa tangazo humu nkasema hebu nijaribu bahati yangu... kweli nikampm, akarespond vizuriiiii... thanx Lord ckuanza na makeke maana nngechanwaje viwembeeeeeee... mmmh sasa baada ya cku mbili, c nkapigiwa cm na mdada alojitambulisha kama mkeweeeeeee.. bahati nzuri nlikuwa nkituma msg namuita bro hiyo ndo pona pona yangu.
Sasa yule mama alivonipigia aliniuliza ivi wewee unajua unachati na mume wa mtuuuu????? nkawa mpole na kumwambia apitie msg zote aone km kuna za mapenzi, jamani neno kaka na kuwa na subra kuliniokoa maaana ikabidi bi mkubwa ashushe jazba na kuniomba msamaha na kudai eti alikosea nambaaa..... Pipoz mnaotafuta wenza humu ndan muwe serious, ni kweli wengine tinahitaji mume asa kwa staili ya kudanganya sio vizuriiiiii tutasababishiana matatizo humuuuuuu


nikwel usemayo bt jiwekee vgzo kukurinda maana wengne tuna maansha.
 
Unamaanisha mimi bado natafuta fursa wakati najua imeshapatikana kwako?

Hapa nina CV kibao..nafanya screening..labda wikiendi hii ntakuita kwenye written interview..!
 
philophy, wishing you the best na pole kwa kufiwa.
 
Last edited by a moderator:
Hapa nina CV kibao..nafanya screening..labda wikiendi hii ntakuita kwenye written interview..![/QUOTE

Sawa naamini ntafaulu na oral pia ila ya vitendo nahis ntafeli 🙄
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umenifurahishaje bestito
mpaka hapa job wananishangaa wanasema nacheka na keyboard
Ndio bestito..naangalia wasinipeperushie bestito wangu ladyfurahia..! Vijana wa siku hizi kazi yao kufunua kila sketi...aaaah
 
Sawa naamini ntafaulu na oral pia ila ya vitendo nahis ntafeli 🙄

Ukifaulu ORAL hakika nitakupitisha...tatizo lako we hupendi oral interviews. ORAL OS A MUST..hahaha!
 
Ukifaulu ORAL hakika nitakupitisha...tatizo lako we hupendi oral interviews. ORAL OS A MUST..hahaha!

Hahahahahaaaaa....mweh nimechekaaa kweli bhana mi kwenye oral sipo competent kabisa
 
Back
Top Bottom