Chuma2
Senior Member
- Jun 18, 2014
- 159
- 64
philophy unaonekana huna utulivu kbsa nakama huta tulia utaruka na gumegume.
tatzo n ugen tu wa jukwaa.
philophy unaonekana huna utulivu kbsa nakama huta tulia utaruka na gumegume.
jipe moyo utampata soo na ukimpata urud kushukuru!
Nimemaanisha.unajua unachokisema lakn?
philophy unaonekana huna utulivu kbsa nakama huta tulia utaruka na gumegume.
du! mi kimo cha kati ngoja nisubiri labda atajitokeza anayehitaji andunje aka cheichei
huwa hawarud hao trust me wanarud wakitendwa tu.
Nimemaanisha.
du! mi kimo cha kati ngoja nisubiri labda atajitokeza anayehitaji andunje aka cheichei
jaman m najitambua na najua ninachofanya hofu ondoeni.
nataman kusikia umeshampata
Pole sana.nina mashaka nawewe
Pole sana.
Ina maana hujui kama internet ni pori? unamjua kila mtu humu ndani? Hizi ID Zinazotumika unajua nani ni nani? unajua kama kuna wanaume wanatumia ID za kike? and vice versa?nani anayestaili hyo pole kama si wew unayeongea mambo usiyoyajua.
Sorry kwa kuchakachua uzi Wako kiongozi
Mrejesho
bdo wanawangoja njooni pm jamani.