Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

ukwel n kwamba ktk kufikia soln ya hitaj lolote pana changamoto zake, hata kwenye hili pana changamoto nyng bt kwakuwa najua kukosea kwangu kunaweza nigharimu pakubwa that's why umanik na mazingatio ya vigezo yanamata pakubwa. mliotendwa mcje na historia zenu, mikakat na mipango yenu haifanan na yakwangu na silazma yaliyowapa nyie nam yanipate pia.
 
ukwel n kwamba ktk kufikia soln ya hitaj lolote pana changamoto zake, hata kwenye hili pana changamoto nyng bt kwakuwa najua kukosea kwangu kunaweza nigharimu pakubwa that's why umanik na mazingatio ya vigezo yanamata pakubwa. mliotendwa mcje na historia zenu, mikakat na mipango yenu haifanan na yakwangu na silazma yaliyowapa nyie nam yanipate pia.

jipe moyo mwaya maana hakuna lisilowekana penye imani!
 
Back
Top Bottom