Mwanamke akikuhitaji ana code ngumu sana kueleweka

Mwanamke akikuhitaji ana code ngumu sana kueleweka

Muimba SINGELI

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
4,211
Reaction score
10,840
Miaka michache nyuma tulianzisha kikundi cha sanaa ya uigizaji mtaani kwetu.

Mimi ndio nilitoa hilo wazo na kuwashirikisha vijana wenzangu ambao niliona wanaweza kufanya sanaa ya maigizo. Nilitoa hilo wazo baada ya kuwa nimeacha kufanya mazoezi na kikundi cha MTWARA SUPER FILM, kikundi maarufu cha maigizo mkoani mtwara. baada ya muda mchache tu tulipokea muitikio mkubwa sana wa watu wa rika na jinsia tofauti kutaka kujiunga na kikundi chetu.

Kikundi hakikuwa na malengo makubwa sana katika kushuti filamu, bali kufanya mazoezi ya sanaa kama burudani tu kwa wanaopenda lakini pia kucheza shoo za majukwaani pale zinapotokea.

Wakati tunaanza tuliweka sheria kuwa mwana kikundi hapashwi kuwa na mahusiano ya mapenzi na mwanakikundi mwingine.

Tulijua wazi kuwa hii ni ngumu kutekelezeka lakini tukifanya hivo ili kupunguza mazoea na mzaha mwingi kwenye kikundi.

Tukapanga uongozi.
M/kiti na katibu.
Mwalimu/muongozaji wa mazoezi.

Nilikwepa kila cheo ili kukwepa mazingira ya kujipa u-father lakini pia kuwapa ukubwa wenzangu ili wawe na hamasa maana mimi ndiyo nilikuwa muhitaji mkubwa wa jambo hilo (Hadi leo nafanya sanaa)

PICHA LENYEWE LINAANZA HAPA SASA.

Siku moja wakati nafika tizi na wanangu nikamuona mdada ambae tulikuwa tunamfahamu akiwa na wadada wawili wa kwenye kikundi chetu.
Dada huyu tutamwita HANIFA.

Hanifa ni mdada anaeishi mtaa wa tatu kutoka mtaani kwetu, kwa muda huo alikuwa na kama miaka 20 hivi ambapo mimi namzidi umri kwa miaka michache.
Japo wengi tuna mfahamu lakini hakuna mtu ambae aliwahi kuwa na mazoea nae kabla zaidi ya Dada mmoja miongoni mwa wale wawili aliokuwa ameketi nao, dada huyo TUtamwita JOJO umri 25.

Muda wa kuanza mazoezi ukawadia tukaanza na mazoezi ya kukimbia na baadae tukarudi kujipanga katika mistari (Mazoezi tulikuwa tunafanya jioni katika eneo la shule)

Jojo akaomba kuongea na Mwalimu, kisha akamtambulisha uwepo wa Hanifa na kumwambia ameomba kujiunga na Group na siku hiyo baada ya matizi angechukua fomu na kuijaza, (kuchukua fomu ilikuwa ni Tsh. 2000.)
Hivyo yeye Jojo ana muombea nafasi awe mshiriki wa mazoezi kwa siku hiyo.

Ticha akakubali ombi la Jojo na Hanifa akaja kuungana nasi katika matizi.
Ticha wetu umri ni 22 ila tulimpa uticha kwa sababu ni mtu mwenye misimamo mno, misimamo yake ukilinganisha na umri wake na umbo lake la ufupi inakuwa ni kama kichekesho yaani hafananii kabisa.

Basi bwana..
Tajiri kama kawaida nikajizolea point zangu pale kwa kuwachachafya wapinzani wangu katika sini bunifu siku ikapita.

TAJIRI nimechoka kuandika ngoja nipost hii niandike sehemu ya pili na ya mwisho.

Siku ya tukio binti alijifanya ana mashetani ili nimtafune.

MUENDELEZO UNAKUJA DAKIKA CHACHE, ATAKAESEMA HII NI CHAI APIKE YA KWAKE.
 
Miaka michache nyuma tulianzisha kikundi cha sanaa ya uigizaji mtaani kwetu.

Mimi ndio nilitoa hilo wazo na kuwashirikisha vijana wenzangu ambao niliona wanaweza kufanya sanaa ya maigizo. Nilitoa hilo wazo baada ya kuwa nimeacha kufanya mazoezi na kikundi cha MTWARA SUPER FILM, kikundi maarufu cha maigizo mkoani mtwara. baada ya muda mchache tu tulipokea muitikio mkubwa sana wa watu wa rika na jinsia tofauti kutaka kujiunga na kikundi chetu.

Kikundi hakikuwa na malengo makubwa sana katika kushuti filamu, bali kufanya mazoezi ya sanaa kama burudani tu kwa wanaopenda lakini pia kucheza shoo za majukwaani pale zinapotokea.

Wakati tunaanza tuliweka sheria kuwa mwana kikundi hapashwi kuwa na mahusiano ya mapenzi na mwanakikundi mwingine.

Tulijua wazi kuwa hii ni ngumu kutekelezeka lakini tukifanya hivo ili kupunguza mazoea na mzaha mwingi kwenye kikundi.

Tukapanga uongozi.
M/kiti na katibu.
Mwalimu/muongozaji wa mazoezi.

Nilikwepa kila cheo ili kukwepa mazingira ya kujipa u-father lakini pia kuwapa ukubwa wenzangu ili wawe na hamasa maana mimi ndiyo nilikuwa muhitaji mkubwa wa jambo hilo (Hadi leo nafanya sanaa)

PICHA LENYEWE LINAANZA HAPA SASA.

Siku moja wakati nafika tizi na wanangu nikamuona mdada ambae tulikuwa tunamfahamu akiwa na wadada wawili wa kwenye kikundi chetu.
Dada huyu tutamwita HANIFA.

Hanifa ni mdada anaeishi mtaa wa tatu kutoka mtaani kwetu, kwa muda huo alikuwa na kama miaka 20 hivi ambapo mimi namzidi umri kwa miaka michache.
Japo wengi tuna mfahamu lakini hakuna mtu ambae aliwahi kuwa na mazoea nae kabla zaidi ya Dada mmoja miongoni mwa wale wawili aliokuwa ameketi nao, dada huyo TUtamwita JOJO umri 25.

Muda wa kuanza mazoezi ukawadia tukaanza na mazoezi ya kukimbia na baadae tukarudi kujipanga katika mistari (Mazoezi tulikuwa tunafanya jioni katika eneo la shule)

Jojo akaomba kuongea na Mwalimu, kisha akamtambulisha uwepo wa Hanifa na kumwambia ameomba kujiunga na Group na siku hiyo baada ya matizi angechukua fomu na kuijaza, (kuchukua fomu ilikuwa ni Tsh. 2000.)
Hivyo yeye Jojo ana muombea nafasi awe mshiriki wa mazoezi kwa siku hiyo.

Ticha akakubali ombi la Jojo na Hanifa akaja kuungana nasi katika matizi.
Ticha wetu umri ni 22 ila tulimpa uticha kwa sababu ni mtu mwenye misimamo mno, misimamo yake ukilinganisha na umri wake na umbo lake la ufupi inakuwa ni kama kichekesho yaani hafananii kabisa.

Basi bwana..
Tajiri kama kawaida nikajizolea point zangu pale kwa kuwachachafya wapinzani wangu katika sini bunifu siku ikapita.

TAJIRI nimechoka kuandika ngoja nipost hii niandike sehemu ya pili na ya mwisho.

Siku ya tukio binti alijifanya ana mashetani ili nimtafune.

MUENDELEZO UNAKUJA DAKIKA CHACHE, ATAKAESEMA HII NI CHAI APIKE YA KWAKE.
Yaani inafaa kabisa hata kupelekwa kwenye uzi wa Rickboy na title ikawa...

Nilivyoliwa Kimasikhara Baada ya Kupandishiwa Mashetani 😂
 
Kusoma uzi wa mwanasanaa sawasawa nakusoma maandishi ya mwanasiasa tu!...
ila hata hivyo nimechagua kuburudika sasa scene isiwe ya kuburudisha ole wako utaukimbia uzi wako maana nitakuchafua balaa!, moderator woote watakuja hapa!..😂
 
Baasi bwana..

Siku zikaenda huku tukiwa na Hanifa kwenye Group, akili yangu haikuwahi kabisa kuwazia mambo ya ngono kwa wana Group wenzangu japo kulikuwa na wadada walioshiba vizuri tu.

Siku moja majira ya saa 12 na dakika kadhaa jioni wakati tunarudi mazoezini kuelekea majumbani kwetu, Hanifa akapandisha mashetani na kuanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo haina majumba mengi.

Wanakikundi tulimkimbiza lakini alikuwa na kasi mno, hatimae jamaa mmoja aliyeitwa kisado akafanikiwa kumkaribia na kumkata mtama.

Hanifa akadondoka huku akitoa milio kama ile ya watu wanapopandisha mashetani, basi tulimzuia kwa kumkandamiza kwa uangalifu binti huyo mweupe na mzuri sana wa sura na umbo.

Baada ya kuwa ametulia kidogo tukamuachia huku tukiwa makini kumchunga ili asikimbie tena.

Ingawaje sikuwa naamini kupitia mashetani katika dhana inayoaminika katika jamii yangu ila nilimhurumia sana yule binti kwani niliamini ule ni ugonjwa tu pengine ni miongoni mwa magonjwa magonjwa ya akili.

Baada ya hali kuzidi kuonekana hafadhali nilimuuliza maswali mawili matatu nae alinijibu kivivu mno.

Wana kikunde kwa pamoja tukaanza kuelekea majumbani kwetu pamoja na yule dada huku tukitembea kivivu kuendana na mwendo wake.

Shule ambayo tulikuwa tukifanyia mazoezi imejitenga kidogo na makazi ya wananchi.

Baada ya kuona tunakaribia kwenye makazi ya watu wana kikundi hasa wanaume tukaanza kukaza mwendo ili kuwahi majumbani kwetu.

Wakati nakaza mwendo na wahuni wangu Jojo akaniita.

Muda huo tayari ilikuwa ni saa moja na dakika chache.

Nikageuka na kurudi nyuma walipo,

JOJO "Sasa wote mnatawanyika huyu mgonjwa akikimbia tena hapa unadhani itakuwaje"

MIMI "tumehisi ana hafadhali lakini hata hivo tupo kwenye makazi, lakini sio mbaya mimi nabaki na nyinyi hapa vipi niite boda awahi nyumbani kwao"

JOJO "Hapana huyu hapa alipo anahitaji kupumzika hawezi kupanda pikipiki akiwa katika hali hii"

MIMI "Ahaa sawa nitawafikisha pale kwenu halafu nitafanya mazingira ya pikipiki akiwa tayari kuondoka utanipigia nije kuwafata"

JOJO 'Hapana mimi siwazi kumpeleka nyumbani naogopa kaka atanifokea"
Jojo anaishi kwa kaka yake.

MIMI "atakufokea kivipi wakati huyu ni mgonjwa! Na isitoshe ni rafiki yako anafika kwenu kila siku!"

JOJO "Wewe humjui kaka vizuri mimi ninaekwambia ndiyo namjuwa"
MIMI "Jojo hii Inawezekanaje yaani wakati yuko sawa asifoke halafu afoke wakati ana matatizo? Sasa akapumzike wapi?"

JOJO "mimi naona tumpeleke kwenu kule ndiyo kuna utulivu zaidi"

MIMI " KWETU! si unajua kwetu chumba chenye kitanda ni kimoja tu? Sasa huyu ni wakike atapumzikaje wakati mimi inabidi nioge na niwe huru"

JOJO "Kwahiyo kwenye tatizo kama hili utashindwa kubeba nguo zako msalani ukaoga na kubadilisha?"

Tuliongea yote na Jojo huku Hanifa akiwa kimya tu.

Nikabishana na JOJO kwa dakika kadhaa huku nikimshauri tumpeleke Hanifa kwa wana group wa kike lakini yeye alisema wanawake wana tabia ya wivu hivyo tangu Hanifa amejiunga na group wanawake wengi kundini hawampendi.

Tulibishana weee.. mwisho Jojo akaanza kuniangushia jumba bovu kwa kusema ninachokifanya ni unyanyasaji kwani kama mgonjwa angekuwa ni wakiume nisingemwekea vikwazo kufika kwangu.

Baada ya kuona sasa kinachokwenda kutokea ni picha ya ubaguzi ikabidi nikubali Hanifa atapumzika kwetu kisha tutampeleka kwao.

NAENDELEA JAMANI SIKUJUA KWAMBA HII STORI NIKIIANDIKA ITAKUWA NDEFU HIVI...
 
Miaka michache nyuma tulianzisha kikundi cha sanaa ya uigizaji mtaani kwetu.

Mimi ndio nilitoa hilo wazo na kuwashirikisha vijana wenzangu ambao niliona wanaweza kufanya sanaa ya maigizo. Nilitoa hilo wazo baada ya kuwa nimeacha kufanya mazoezi na kikundi cha MTWARA SUPER FILM, kikundi maarufu cha maigizo mkoani mtwara. baada ya muda mchache tu tulipokea muitikio mkubwa sana wa watu wa rika na jinsia tofauti kutaka kujiunga na kikundi chetu.

Kikundi hakikuwa na malengo makubwa sana katika kushuti filamu, bali kufanya mazoezi ya sanaa kama burudani tu kwa wanaopenda lakini pia kucheza shoo za majukwaani pale zinapotokea.

Wakati tunaanza tuliweka sheria kuwa mwana kikundi hapashwi kuwa na mahusiano ya mapenzi na mwanakikundi mwingine.

Tulijua wazi kuwa hii ni ngumu kutekelezeka lakini tukifanya hivo ili kupunguza mazoea na mzaha mwingi kwenye kikundi.

Tukapanga uongozi.
M/kiti na katibu.
Mwalimu/muongozaji wa mazoezi.

Nilikwepa kila cheo ili kukwepa mazingira ya kujipa u-father lakini pia kuwapa ukubwa wenzangu ili wawe na hamasa maana mimi ndiyo nilikuwa muhitaji mkubwa wa jambo hilo (Hadi leo nafanya sanaa)

PICHA LENYEWE LINAANZA HAPA SASA.

Siku moja wakati nafika tizi na wanangu nikamuona mdada ambae tulikuwa tunamfahamu akiwa na wadada wawili wa kwenye kikundi chetu.
Dada huyu tutamwita HANIFA.

Hanifa ni mdada anaeishi mtaa wa tatu kutoka mtaani kwetu, kwa muda huo alikuwa na kama miaka 20 hivi ambapo mimi namzidi umri kwa miaka michache.
Japo wengi tuna mfahamu lakini hakuna mtu ambae aliwahi kuwa na mazoea nae kabla zaidi ya Dada mmoja miongoni mwa wale wawili aliokuwa ameketi nao, dada huyo TUtamwita JOJO umri 25.

Muda wa kuanza mazoezi ukawadia tukaanza na mazoezi ya kukimbia na baadae tukarudi kujipanga katika mistari (Mazoezi tulikuwa tunafanya jioni katika eneo la shule)

Jojo akaomba kuongea na Mwalimu, kisha akamtambulisha uwepo wa Hanifa na kumwambia ameomba kujiunga na Group na siku hiyo baada ya matizi angechukua fomu na kuijaza, (kuchukua fomu ilikuwa ni Tsh. 2000.)
Hivyo yeye Jojo ana muombea nafasi awe mshiriki wa mazoezi kwa siku hiyo.

Ticha akakubali ombi la Jojo na Hanifa akaja kuungana nasi katika matizi.
Ticha wetu umri ni 22 ila tulimpa uticha kwa sababu ni mtu mwenye misimamo mno, misimamo yake ukilinganisha na umri wake na umbo lake la ufupi inakuwa ni kama kichekesho yaani hafananii kabisa.

Basi bwana..
Tajiri kama kawaida nikajizolea point zangu pale kwa kuwachachafya wapinzani wangu katika sini bunifu siku ikapita.

TAJIRI nimechoka kuandika ngoja nipost hii niandike sehemu ya pili na ya mwisho.

Siku ya tukio binti alijifanya ana mashetani ili nimtafune.

MUENDELEZO UNAKUJA DAKIKA CHACHE, ATAKAESEMA HII NI CHAI APIKE YA KWAKE.
1746629406254.jpeg
 
Kusoma uzi wa mwanasanaa sawasawa nakusoma maandishi ya mwanasiasa tu!...
ila hata hivyo nimechagua kuburudika sasa scene isiwe ya kuburudisha ole wako utaukimbia uzi wako maana nitakuchafua balaa!, moderator woote watakuja hapa!..😂
😂😂😂 mkuu hii sio hadithi ya kutunga hivo naandika kilichotokea haijalishi kama mtu atapenda ama laa.
 
Baasi bwana..

Siku zikaenda huku tukiwa na Hanifa kwenye Group, akili yangu haikuwahi kabisa kuwazia mambo ya ngono kwa wana Group wenzangu japo kulikuwa na wadada walioshiba vizuri tu.

Siku moja majira ya saa 12 na dakika kadhaa jioni wakati tunarudi mazoezini kuelekea majumbani kwetu, Hanifa akapandisha mashetani na kuanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo haina majumba mengi.

Wanakikundi tulimkimbiza lakini alikuwa na kasi mno, hatimae jamaa mmoja aliyeitwa kisado akafanikiwa kumkaribia na kumkata mtama.

Hanifa akadondoka huku akitoa milio kama ile ya watu wanapopandisha mashetani, basi tulimzuia kwa kumkandamiza kwa uangalifu binti huyo mweupe na mzuri sana wa sura na umbo.

Baada ya kuwa ametulia kidogo tukamuachia huku tukiwa makini kumchunga ili asikimbie tena.

Ingawaje sikuwa naamini kupitia masheni katika dhana inayoaminika katika jamii yangu ila nilimhurumia sana yule binti kwani niliamini ule ni ugonjwa tu pengine ni miongoni mwa magonjwa magonjwa ya akili.

Baada ya hali kuzidi kuonekana hafadhali nilimuuliza maswali mawili matatu nae alinijibu kivivu mno.

Wana kikunde kwa pamoja tukaanza kuelekea majumbani kwetu pamoja na yule dada huku tukitembea kivivu kuendana na mwendo wake.

Shule ambayo tulikuwa tukifanyia mazoezi imejitenga kidogo na makazi ya wananchi.

Baada ya kuona tunakaribia kwenye makazi ya watu wana kikundi hasa wanaume tukaanza kukaza mwendo ili kuwahi majumbani kwetu.

Wakati nakaza mwendo na wahuni wangu Jojo akaniita.

Muda huo tayari ilikuwa ni saa moja na dakika chache.

Nikageuka na kurudi nyuma walipo,

JOJO "Sasa wote mnatawanyika huyu mgonjwa akikimbia tena hapa unadhani itakuwaje"

MIMI "tumehisi ana hafadhali lakini hata hivo tupo kwenye makazi, lakini sio mbaya mimi nabaki na nyinyi hapa vipi niite boda awahi nyumbani kwao"

JOJO "Hapana huyu hapa alipo anahitaji kupumzika hawezi kupanda pikipiki akiwa katika hali hii"

MIMI "Ahaa sawa nitawafikisha pale kwenu halafu nitafanya mazingira ya pikipiki akiwa tayari kuondoka utanipigia nije kuwafata"

JOJO 'Hapana mimi siwazi kumpeleka nyumbani naogopa kaka atanifokea"
Jojo anaishi kwa kaka yake.

MIMI "atakufokea kivipi wakati huyu ni mgonjwa! Na isitoshe ni rafiki yako anafika kwenu kila siku!"

JOJO "Wewe humjui kaka vizuri mimi ninaekwambia ndiyo namjuwa"
MIMI "Jojo hii Inawezekanaje yaani wakati yuko sawa asifoke halafu afoke wakati ana matatizo? Sasa akapumzike wapi?"

JOJO "mimi naona tumpeleke kwenu kule ndiyo kuna utulivu zaidi"

MIMI " KWETU! si unajua kwetu chumba chenye kitanda ni kimoja tu? Sasa huyu ni wakike atapumzikaje wakati mimi inabidi nioge na niwe huru"

JOJO "Kwahiyo kwenye tatizo kama hili utashindwa kubeba nguo zako msalani ukaoga na kubadilisha?"

Tuliongea yote na Jojo huku Hanifa akiwa kimya tu.

Nikabishana na JOJO kwa dakika kadhaa huku nikimshauri tumpeleke Hanifa kwa wana group wa kike lakini yeye alisema wanawake wana tabia ya wivu hivyo tangu Hanifa amejiunga na group wanawake wengi kundini hawampendi.

Tulibishana weee.. mwisho Jojo akaanza kuniangushia jumba bovu kwa kusema ninachokifanya ni unyanyasaji kwani kama mgonjwa angekuwa ni wakiume nisingemwekea vikwazo kufika kwangu.

Baada ya kuona sasa kinachokwenda kutokea ni picha ya ubaguzi ikabidi nikubali Hanifa atapumzika kwetu kisha tutampeleka kwao.

NAENDELEA JAMANI SIKUJUA KWAMBA HII STORI NIKIIANDIKA ITAKUWA NDEFU HIVI...
1746629508537.jpeg
 
Back
Top Bottom