Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,942
- 6,860
Mwanakijiji ni fataani, mnafik na mzandik wa kwanza katika JF, kwenda kujaribu kuudhalilisha uIslaam kwa kuufananisha na uchaga ni nini hicho? aelewe kuwa uislaam ni universal na hauna mchaga wala mchina. Angefananisha uchaga na ukwere kama chuki yake ni kwa Kikwete, na kama chuki yake ni kwa uIslaam kama alivyojidhihirisha, basi angeufananisha uIslaam na huo Ukristo wake halafu tuchambuwe.
Punguani anataka kutujaza upunguani wake. Kwanza yule nasikia Tanga "walimshughulikia".
Mbona una mdomo mchafu? Hayo ya "kumshughulikia" yametoka wapi? Badala ya kutetea uislamu unajidhalilisha tu. Sidhani kama kuna dini inashabikia matusi.
Amandla........