mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Ambe wewe wolawa kwani lumbu? Mgeta? Matombo?
Kijiji cha Tchenzema, Mgeta.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
Ambe wewe wolawa kwani lumbu? Mgeta? Matombo?
Kuileta habari hii hapa ili nawe ujue yanayotokea huku dunianiWewe kama wewe mtoa habari umechukua jukumu gani kumsaidia iwapo umefaham huo ukatili aliotendewa na huku ukijua kabisa hakuna aliye juu yj sheria
Weka Picha!! Ameshasahau yaliyowatokea wauaji wa swetu?
We have the most undisciplined armed forces in the region, sio polisisiem, sio magerezajambazi, sio jeshi wa hivi, duh
Ktk kuonesha kuwa yuko juu ya sheria mwanajeshi ktk mpaka wa Horohoro anayeitwa
Rogers anayefanya kazi ya uintellejensia wa jeshi amemdhalilisha na kumtesa mwanamke mmoja kwa kimwingiza chupa za bia sehemu ya haja kubwa na ndogo na
kumpiga picha akiwa uchi wa mnyama.
Mwanamke huyo akiongea na shuhuda alieleza kuwa kabla ya kufanyiwa ukatili huo alipigwa na mkanda wa jeshi na kuambiwa hata akienda wapi hatafanywa chochote,
Mwanamke huyo aliyejeruhiwa vibaya anajitibia nyumbani kwao kutokana na kutishwa kuwa akienda polisi atakiona cha moto.
Watu wengine bwana!!!wewe umefikisha ujumbe, na mjumbe hauwawi..Tunashukuru then we can move forward from there...Tunachangia humu kwa kujengana ila Mdote kidogo kakosea,,,msamehe mkuu.Mkuu nikiangalia umri wako humu jamvini nakuona km unajivunjia heshima wewe bado unanuka Maziwa mdomoni nimeanza kuandika hapa kabla yako na wala sihitaji ww unione najua kuandika tafadhari panuka kifikira.Nimeleta taarifa inayogusa jamii unataka ushahidi mimi si wakili wala mwanaharakati unataka huyo dada anivulie nguoanionyeshe alipoingiziwa chupa?na chupa zitakuwa zimebaki hapohapo?Lakini kulileta hapa jamvini ni hatua ya kupata msaada,Kwa faida yako hapa jamvini tunakuza fikra na si kudunisha na kutokwa povu bila sababu karibu ukuze fikira.
Ktk kuonesha kuwa yuko juu ya sheria mwanajeshi ktk mpaka wa Horohoro anayeitwa
Rogers anayefanya kazi ya uintellejensia wa jeshi amemdhalilisha na kumtesa mwanamke mmoja kwa kimwingiza chupa za bia sehemu ya haja kubwa na ndogo na
kumpiga picha akiwa uchi wa mnyama.
Mwanamke huyo akiongea na shuhuda alieleza kuwa kabla ya kufanyiwa ukatili huo alipigwa na mkanda wa jeshi na kuambiwa hata akienda wapi hatafanywa chochote,
Mwanamke huyo aliyejeruhiwa vibaya anajitibia nyumbani kwao kutokana na kutishwa kuwa akienda polisi atakiona cha moto.
Wewe kama wewe mtoa habari umechukua jukumu gani kumsaidia iwapo umefaham huo ukatili aliotendewa na huku ukijua kabisa hakuna aliye juu yj sheria