'Mwanajeshi' aliyepiga Picha na Lema Mbaroni

'Mwanajeshi' aliyepiga Picha na Lema Mbaroni

Lak1n1 kama yeye kavaa za jwtz p!a makosa anayo sababu s!o sawa kwa ra!ya kuvaa za jwtz bora akamatwe kwanza aul!zwe !l! Tujue ukwel! Na anafany!a n!n! !zo za jwtz
 
Lazima atakuwa ni mwanajeshi,ila kwa vile usanii unaongoza hapa nchini lazima mambo yapindishwe
.

Ndio taathira za kufutwa kwa JKT. huyo jamaa kwa waliopitia hata mgambo waliweza kubaini kuwa hakuwa mwanajeshi. hizo combat zilikuwa hazimwenei alikuwa anaonekana kana kwamba amevaa za baba yake! Cheap publicity!
 
.

Ndio taathira za kufutwa kwa JKT. huyo jamaa kwa waliopitia hata mgambo waliweza kubaini kuwa hakuwa mwanajeshi. hizo combat zilikuwa hazimwenei alikuwa anaonekana kana kwamba amevaa za baba yake! Cheap publicity!
Haya na wewe umeandika!
 
Lak1n1 kama yeye kavaa za jwtz p!a makosa anayo sababu s!o sawa kwa ra!ya kuvaa za jwtz bora akamatwe kwanza aul!zwe !l! Tujue ukwel! Na anafany!a n!n! !zo za jwtz

sasa nawe mbona unaandika ujinga... Andika kwa lugha ya kueleweka, sio ujanja ila ni upumbavu huo...
 
ukimaliza mafunzo ya jeshi magwanda siunaondoka nayo

Mafunzo ya JKT huondoki na kitu chochote cha jeshi, vinginevyo hayo magwanda na vifaa vingine vya jeshi vingezagaa mitaani na udhibiti wake ungekua mgumu.
 
Mwacheni sasa akagonge magwanda ya orange
images
 
.

Ndio taathira za kufutwa kwa JKT. huyo jamaa kwa waliopitia hata mgambo waliweza kubaini kuwa hakuwa mwanajeshi. hizo combat zilikuwa hazimwenei alikuwa anaonekana kana kwamba amevaa za baba yake! Cheap publicity!

Sasa hata kama hazimuenei kwanini azivae wakati ni za JWTZ mimi nadhani wapo wangi wa aina yake mitaani tunawapa heshima kumbe siyo wanajeshi, huu ndo utekelezaji wa ilani ya CCM jeshini?
 
Nadhani chadema hawatasubutu tena kuvamia kituo cha Polisi ili kumuokoa huyu mwanajeshi hewa kama walivyojaribu Arusha Police Station na kusababisha mikong,oto na Arusha kukimbiwa na Watalii!

Arusha kazi yetu ni utalii hata siku moja hatujawahi kukosa watalii kwa kuichagua CHADEMA! Kenya wana machafuko kila siku lakini sector ya utalii ya kenye inaingiza fedha nyingi kuliko ya tanzania yenye amani na utulivu wa kutosha, laumu sera zilizoshindwa za CCM siyo CHADEMA! Tembo wamepungua kwa asilimia 47% kwa kipindi cha Kikwete CCM inashirikiana na wasomali kuua tembo wetu na kuvuna pembe za ndovu! Nyie lazima tuwaondoe madarakani! Mnawakataza wamasai wa Ngorongoro kulima kilimo cha kujikimu ngorongoro nyie mnaua tembo na kusafirisha pembe za ndovu! Kweli CCM mlaaniwe kwa ujagili mnaolifanyia taifa!
 
Mwanajeshi atakuwa huyo? Bangi hizo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 



hhh.jpg



Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa
Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha kwenye mkutano wa Chadema
Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi karibuni akiwa ndani ya gari ya jeshi baada ya kutiwa
nguvuni,

430928_109903545848532_1614025018_n.jpg




9709_209331452537196_801742473_n.jpg


Picha juu alipopiga picha na Viongozi mbalimbali wa Chadema

attachment.jpg


Mtu Aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa
Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema,
Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada
ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika
Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi karibuni.

---



Na Mwandishi Maalum



Yule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha Monduli
ametiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na Police.

Uchunguzi
wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama
alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari, ila aliwahi kuwa JKT na
akaacha. Amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi
wa Mererani wanamtambua kama mwanajeshi.



 
CCM... Na SHERIA; Ingekuwa ni Kwa CCM Mwanajeshi wa WATU asingepigwa PINGU
 
CDM inafuga majambazi wanaovalia sare za JWTZ.
Hii inaeleza historia zisizoeleweka za kina Lema na Nassari kabla ya ubunge!Huyo kijana aminywe vitu nyeti abaeleze yote.

Hii picha ya kukamatwa huyu jambazi imekuwapo muda sasa na si Mnyika wala CDM wametoa tamko la tukio hili.
 
Kaaz kweli kweli.....Ilikuaje anavaa magwanda ya Jeshi muda wote huo na wala Polisi wala Jeshi hawajamtia hatiani hadi alipopiga picha na Lema.
 
CDM inafuga majambazi wanaovalia sare za JWTZ.
Hii inaeleza historia zisizoeleweka za kina Lema na Nassari kabla ya ubunge!Huyo kijana aminywe vitu nyeti abaeleze yote.

Hii picha ya kukamatwa huyu jambazi imekuwapo muda sasa na si Mnyika wala CDM wametoa tamko la tukio hili.

Comments kama hizi zilinihamisha jukwaa! $#@&*..)!~%...!
 
Back
Top Bottom