Mujuni2
Senior Member
- Jun 11, 2008
- 142
- 3
Hivi unafikiri kweli wale maelfu waliojazana Jangwani kwenye mkutano wa CCM hawajui ufisadi unaofanyika nchini? Really..?
Rome was not built in a single day, na askari wa vita hakati tamaa, chachu za ki- fikra huchochea wanaokandamizwa kuchukua maamuzi magumu, inaweza hata kuchukua karne. So usitegemee kwa jamii ambayo imepigwa ganzi kuamka na kudai haki kwa kasi ya mwangaza . Hata Kenya pamoja na ungangari wao imewachukua zaidi ya miaka 30, kubadili katiba ya kinyonyaji.Na tungoje basi, swali la muhimu ni mimi na wewe na wengine tunafanya nini? kukaa mbele ya monitor ya computer( using fictitious names) na kuandika tu? je hiyo inatosha peke yake mzee?