hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,911
Lakini sii mnaona alivyo wafanya na tena bila wizi wa kura mpaka saizi ccm ingekuwa inapumulia mashine.Chama kikubwa ambacho kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana kilikosa mgombea hadi ikabidi kisubiri makapi ya CCM, na makapi yenyewe mtu ambaye CHADEMA ilimwita baba la mafisadi kwa miaka tisa mfululizo. Nyie hamna maana kabisa.