Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Basi tazama maumbile yako ndo 7bu. Huenda una maumbile ya kike na nundu huenda ipo.
 
Hongera mkuu watoto Wana mambo ya ajabu.Ndio umri wao wa udadisi.Inaonekana we ni mpole kiaina
Asante pia huwa Na huruma,kwa kuwa nililelewa Na mama wa kambo, baada ya mama yangu kurudi kwao Rwanda.huyu mama wa kambo alikuwa ananitesa sana,kwa hivyo huwa sipendi nione mtoto anateseka au kuumia.
 
Fanya mpango wa picha tukuone kwanza.
 
janet jackson alipokuwa na chura mkubwa alienda kulipunguza. jichunguze asijekuwa amekulinganisha chura wakati umegeukia ubaoni, kakulinganisha na chura wa dadake. au pengine unachekecheka hovyohovyo.
 
janet jackson alipokuwa na chura mkubwa alienda kulipunguza. jichunguze asijekuwa amekulinganisha chura wakati umegeukia ubaoni, kakulinganisha na chura wa dadake. au pengine unachekecheka hovyohovyo.
Am gentleman
 
Inaelekea wewe ni team Bashite type!!! [emoji23][emoji23][emoji23] (just kidding)
Wanafunzi ata sio wa kuwachukulia serious... Tena afadhali wamekwambia mbele yako, kuna wengine wanasemwa vibaya pembeni...
 
Inaelekea wewe ni team Bashite type!!! [emoji23][emoji23][emoji23] (just kidding)
Wanafunzi ata sio wa kuwachukulia serious... Tena afadhali wamekwambia mbele yako, kuna wengine wanasemwa vibaya pembeni...
Sawa
 
Umefanya vyema kuchukulia simple na kuwashauri...
Wewe chapa kazi na usiwe na muda wa matani yasiyo rasmi na watoto; hizo ni changamoto za kawaida mashuleni.
Cha msingi usilikomalie kwani kitu kinachokwaza mtu wanafunzi hupenda kukitumia
 
Umefanya vyema kuchukulia simple na kuwashauri...
Wewe chapa kazi na usiwe na muda wa matani yasiyo rasmi na watoto; hizo ni changamoto za kawaida mashuleni.
Cha msingi usilikomalie kwani kitu kinachokwaza mtu wanafunzi hupenda kukitumia
Asante sana
 
Mkuu kwani una msambwanda mkubwa?!




Samahani lkn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…