chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,679
Baraza la mitihani Lina namba yake ili tujue ni mwanafunzi kweli au kavalishwa uniform tu? Nashauri Baraza la mitihani katika kumsahihisha wampe viwango vya juu ili aonyeshe ana uwezo mkubwa kuliko anaowatukana, kwa kuwa anataka kuonekana wa viwango, passmark yake ipewe angalizo kubwa sana, tuone akama na yeye anaweza.
===
Clip inayosambaa inamuonesha mwanafunzi huyo akiwa kwenye mkutano rasmi ambapo alitoa wito kwa wanafunzi wenzake na vijana kuwa na uzalendo kama Magufuli.
Amesema viongozi wengi leo wanamipango mingi lakini hawaitekelezi ipasavyo kwa sababu ya kukosa uzalendo.
Kasi ya mapinduzi ilibadilika kiasi wakati wa Magufuli ambapo ameonesha kutamani kasi ya mabadiliko aliyoiona wakati wa Magufuli irudi tena.