Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,499
Masikini ya Mungu huko nyuma kama aliwahi kumshauri dada atoe ujauzito wake nafikiri atajuta maisha yake yote. Sijui kwanini watu wanaendelea kutumia haya makitu kwani haiishi wiki bila kusikia maafa yatokanayo na midawa hii.get well soon mgonjwa. wa kujifunza na wajifunze.......