ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Nadhania anachomaanisha hapa si mishipa ya uzazi bali ya damu inayosaidia mboo kusimama
hivi kuna procdure kweli ya kurepair situation hii ?
Procedure ipo ambayo ni kufyonza damu na kuinject dawa inayostimulate "fight or flight" body reactions. Lakini procedure hii haina uhusiana na uwezo wa mtu kupata mtoto in two ways. Kwanza haiathiri testes which means that sperm production itaendelea kama kawaida, lakini pia haizuii "mashine" kusimama in the future. Ndio maana hii story ni ya kijiweni tu ambayo haina ukweli wowote. Hizo story ya MKUYATI tumezisikia sana vijiweni...