B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
- Thread starter
- #21
Story ya kijiweni tu hii.
Priapism na mishipa ya uzazi wapi na wapi? By the way, mishipa ya uzazi ndio nini?
Nenda pale Bugando uulizie mimi sio daktari ila wamekata mishipa inayo-connect kati ya uume na baada ya kuikata Uume ukasinyaa, wazazi wake walifika ila baba ndo aliruhusiwa kumuona na kwenda kushauriana na mama yake ndo wakatoa go-ahead. kwa Taarifa zaidi fika hapa Bugando.