HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,994
- 102,833
Ujue hata shule za kata kuna wanafunzi hufaulu vizuri?Notsi sio jambo muhimu sana katika kufaulu kwa walio wengi.
Walimu na mazingira ya shule ndio mambo muhimu zaidi.
Ujue hata shule za kata kuna wanafunzi hufaulu vizuri?Notsi sio jambo muhimu sana katika kufaulu kwa walio wengi.
Walimu na mazingira ya shule ndio mambo muhimu zaidi.
Hata kama ingekuwa ya Dunia issue ni kwamba ameshika nafas ya tatu na huyo aliyeshika ya kwanza asemaje?Iyo ni michuano ya afrika sio ya tz,unataka asemeje?mnapenda kubembelezwa sana mkielezwa mambo kwa uhalisia wake mnamind
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unaona mapicha yaaniSimshangai huyo mtoto.Mimi mwenyewe nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa mtu anafeli vipi.Mpaka namaliza chuo kikuu sikuwahi kufeli.Ila maisha yamenipiga na kitu kizito kichwani najiuliza waliotajirika wamewezaje?![]()

Uko off point dogo hajaongelea maisha, yeye kaongelea mitihani.Simshangai huyo mtoto.Mimi mwenyewe nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa mtu anafeli vipi.Mpaka namaliza chuo kikuu sikuwahi kufeli.Ila maisha yamenipiga na kitu kizito kichwani najiuliza waliotajirika wamewezaje?![]()
Hayo ni machaguo ya wazazi wao.
Je hayo ni makosa ya watoto au wazazi kuzaa na kulea katika mazingira magumu?Utofauti uliopo kati ya Shule za serikali na Shule za Kulipia ni Mkubwa mno kuanzia Hata kwny Mindset tu ya Mwalimu na Mwanafunzi husika,
Mfano Halisi anzia tu Hata Mtaani kwenu angalia watoto wanaosoma Internationa schools na Hizi za Serikali yani Utaona kabsa Maji na Mafuta vilee vinajitenga.
Watt wa Shule za serikali wakilud nyumbani kazi Kuangalia Singeli na Nyimbo za Amelowa hku wakisindikizwa Na migogoro ya Baba na mama ndani ya Nyumba hivi unafkiri hyo mtoto Saikolojia yake itakuw sawa kweli ?
Mambo ni mengi sana nataman hat nianzishe Thread yangu kabsa nielezee hili kiundani ila Kiufupi Ufaulu wa Mtoto unaanzia Na Misingi ya Wanafamilia/kifamilia.
Kama wanafunzi wa sasa wanafeli sababu ni wapumbavu, zamani walifeli sababu ni wajingaSema kweli kufeli NECTA kwamba ukose 1,2,3 hata 4 ya kwenda certificate inashangaza sana tena hasa kwa kizazi hiki cha form 4 cha utawala wa Mwendazake na kuendelea na hii haijalishi umesoma kayumba au laah.
chuki binafsiMwisho wao wanadondokea upinde
Watanzania wanapenda unafiki, umasikini, roho ya kuonewa huruma, kuitwa wanyonge. Na kundi kubwa la Watz liko hiviAcha wivu dogo yupo sahihi shule za washua kama hizo watoto wanafundishwa kujiamini tangu wakiwa primary unakutana na mtoto wa darasa la nne anajibiza ana mtu mzima mpaka unasikia raha wakati kayumba dogo wa la saba unamuuliza swali anajibu huku anaangalia chini mwingine anakukimbia kabisa zaidi hapo ningemuongezea kwa karne hii dogo asome kuelimika sio kutegemea kuajiriwa.
Mnamuonea dogo ila kaongea uhalisia siku hizi mitihani miepesi sana.Huyu dogo wa kishua sololabien mboga saba anawasolola wenzake wa St. Kayumba?
Anajua life la kitaa cha wana huyu, mbona kama dogo anatafuta penzi la wakulungwa kiaina tumteke tukaishi nae.
Dogo anajua struggle za madogo wa uswazi life lao linavyowapelekesha. Hata ukifaulu NECTA bado maisha yanawakataa, vijana hawana codes za system.
Kuna ulazima gani kushika nafasi ya kwanza?kwanza lazima utambue kijana amejitahidi sana kwasababu walikua wanafunzi 49 wamepita 6 sita tu kwenda kwenye michuano ya mabaraHata kama ingekuwa ya Dunia issue ni kwamba ameshika nafas ya tatu na huyo aliyeshika ya kwanza asemaje?
Kwanza emu tupe ufafanuzi kuhusu hiyo michuano ya Hisabati iliyofanyika
Wapambane inawezekana, Tusitumie umaskini na mazingira magumu kuficha madhaifu mengine.Kwahiyo waendelee hivyo hivyo Kwa sababu wewe ulisoma hivyo na mitihani haikuwa migumu kwako
Sasa hapo huoni ni mzazi ndo mpumbavu kupeleka mwanafunzi hiyo shule?Kwa aina hii ya shule bado anaendelea kushangaa kweli?View attachment 2622380
Unadhani unaweza somesha mtoto pale?Feza kweli ni shule ya viwango? Maana navyojua English ni lugha ya pili kwa Waturuki.
Watanzania wana fikra za kipumbavu sana, wanaamini umasikini ni raha na kila mtu lazima aipitie au atapitiaHayo hayamuhusu ,uliambiwa shida ni kitu kizuri na nani?Acheni kukimbia mada
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa huoni utofauti, dogo kajiongeza mwenyewe, akitoka hapo anaenda nje ya nchi. Anarudi kuongoza kampuniKashapiga one yake safi O level apo ameshinda michuano ya Hisabati kwa afrika ameshika nafasi ya tatu kwa level ya O level..Na ameshahama mtaala anasoma cambridge A lavel
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hao wameishiwa hoja na ukute wote ni failures
Ambapo ada yake ni mshahara wa mtu mwaka mzimaUyo ndio kaongia f5 lakini ameshahama hasomi tena shule za necta anasoma mtaala wa Cambridge International school
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
mbona wanazo shule mpaka marekani? Unadharau kwa vile wao ni waturuki, angekuwa mjerumani ungeona ni sawa tuFeza kweli ni shule ya viwango? Maana navyojua English ni lugha ya pili kwa Waturuki.