Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,831
- 4,498
Kama wewe ni Mwanafunzi wa chuo chochote nchini Tanzania, basi naomba tushare Application kabambe unayotumia katika kufanya kazi zako na inakurahisishia kiutendaji kazi.. mfano Assignments, Research na mambo mbalimbali...
Maana kwa Sasa kumekuwa na App nyingi ambazo mwanafunzi anaweza kuingiza swali tu na kuletewa mazagazaga yote.
Haya hebu tusanuane hapa jamani maana huu wakati wa utandawazi sio wakati wa kuteseka tena na almost vitu vyote tunavyovifanya/kusoma sasa watu washavifanya/kusoma miaka 50 iliyopita.. So hamna kipya Sasa.
Hivyo weka jina la Application yako hapa unayoikubali na Iko Rahisi kiutendaji
Maana kwa Sasa kumekuwa na App nyingi ambazo mwanafunzi anaweza kuingiza swali tu na kuletewa mazagazaga yote.
Haya hebu tusanuane hapa jamani maana huu wakati wa utandawazi sio wakati wa kuteseka tena na almost vitu vyote tunavyovifanya/kusoma sasa watu washavifanya/kusoma miaka 50 iliyopita.. So hamna kipya Sasa.
Hivyo weka jina la Application yako hapa unayoikubali na Iko Rahisi kiutendaji