Mwanafunzi wa Chuo afariki katika mazingira tata!

Mwanafunzi wa Chuo afariki katika mazingira tata!

Hivi hizi pf3 na uhai wa mtu kipi bora jamani .
 
Kwakua siku hizi kila litokeapo ovu ni la ccm , nadhani hata huyu binti atakua kaekewa sumu na ma'ccm !
Btw R.I.P Bi Neema .
 
BAAASI. Inashangaza watu, binadamu, ambao hawajui lini watakufa, na vipi watakufa, wanapogeuka miungu watakatifu na kuanza kuhukumu. Watu wengine wanaviwango vidogo sana vya busara.

hasa walokole yani huwa natamanigi kupitisha bakora ila sasa ndiyo hivyo binadamu tulivyo
 
Isingekuwa mlolongo wa PF3 labda wangeweza kumuokoa!
Kwa nini wasi control hali ya mgonjwa kwanza?

hii ndio ilikuwa iwe kesi ya kwanza....hivi angetibiwa pale pale alipofikishwa si angepona huyu binti??!! kaanzia palestina...kaenda polisi mabatini...halafu kaenda mwananyamala hospitali!!!! hivi huu ujinga utamaliza maisha ya watu mpaka lini?? PF3 kwani amekuja hapo na majeraha ya panga au risasi??!! hii mipango ya Mungu mara nyingine mimi siikubali.
 
Ukifuata beurocracy basi mambo kama haya yanatokea na usipo fuata mambo kama ya ESCROW yanatokea. Pf3 ni lazima itolewe ndio mgonjwa atibiwe. La sivyo watatibu na wahalifu. Sema wengi wetu tunasahau kwamba kunakitu inaitwa contigency.

Ingetumika hii basi binti angepona.

R. I. P.

Maskini...RIP Neema.

DZUDZUKU kwani hao wahalifu huwa hawatibiwi mwisho wa siku?! Unless wakishagundulika ni wahalifu huwa wanaachwa wafe hoja yako haina mashiko.

Kungekuwa na utaratibu kwamba mtu anapewa huduma wakati polisi wa kituo cha karibu na hosp wanapewa taarifa. Wakati maisha ya mtu yanaokolewa polisi wanakuja, wanafanya yao na kama mtu ni mhalifu anatiwa pingu na kuwekewa ulinzi wakati wanasubiria apate nafuu wamchukue.

Huo upuuzi wa kukimbizana polisi wakati mtu yuko hoi unagharimu maisha ya watu wengi sana.
 
Last edited by a moderator:
Mwenye ufahamu zaidi atueleze kuhusu pf 3. Niliwahi kusikia kuwa taratibu za pf 3 zimebadilishwa kuwa mgonjwa anaweza kutibiwa kwanza halafu hiyo pf 3 ikaja baadae. Sasa sijajua ni katika mazingira gani hili linaruhusiwa. Au hao madokta na polisi waliomshughulikia neema hawajui. Kama ndio hivyo inahitajika elimu kwa uma vinginevyo tutakuwa tumeshapoteza na tutapoteza watu wengi zaidi huko mbeleni.
 
pumzika kwa aman neema
pf3 zinaua kuliko hata gonjwa lolote hapa nchini----kwa nini matibabu yasianze kutolewa na pf 3 ifwate baadae???

Namfaham sana baba yake Prof.Rogers Malimbwi ni mkimya na mpole sana
 
Poleni wafiwa, tulimpenda wanadamu sasa mungu kampenda zaidi!
 
Habari ambazo sijadhibitisha kutoka kwa rafiki wa karibu wa huyu binti ambaye ni mtu wangu wa karibu pia ni kwamba huyo binti siku za karibuni alijiingiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Ni kwamba alijiingiza kwenye urafiki na mjukuu wa nyerere (simfahamu) ambaye kwa muda mrefu alikuwa anaishi Uingereza. Huyo mjukuu wa mzee amerudi tanzania na ni mtumiaji mkubwa wa madawa ya kulevya, pombe kali na wanaume anaotoka nao asilimia kubwa ni wazungu. Kutokana na urafiki waliouanzisha, huyo Neema naye akafuata hizo tabia na sehemu nyingi za (kula bata????) walikuwa wanakuwa pamoja kwa siku za karibuni. Siku ya tukio inasemekana walikuwa wote, na kabla ya kifo kumkuta huyo binti alichanganya madawa ya kulevya pamoja na pombe kali, kifupi ni kwamba alijiO.D. (Overdose). Kwa taarifa isiyo rasmi ni kwamba binti kafariki kwa sababu ya matumizi makubwa ya madawa ya kulevya (cocaine????) siku ya tukio akachanganya na mipombe mikali the same day. RIP MDADA
Madawa haya.

Kwa kweli ni janga
 
pumzika kwa amani poleni sana wafiwa . Mbele yake nyuma yetu.
 
Maskini...RIP Neema.

DZUDZUKU kwani hao wahalifu huwa hawatibiwi mwisho wa siku?! Unless wakishagundulika ni wahalifu huwa wanaachwa wafe hoja yako haina mashiko.

Kungekuwa na utaratibu kwamba mtu anapewa huduma wakati polisi wa kituo cha karibu na hosp wanapewa taarifa. Wakati maisha ya mtu yanaokolewa polisi wanakuja, wanafanya yao na kama mtu ni mhalifu anatiwa pingu na kuwekewa ulinzi wakati wanasubiria apate nafuu wamchukue.

Huo upuuzi wa kukimbizana polisi wakati mtu yuko hoi unagharimu maisha ya watu wengi sana.

You have so much to learn from the system, just wait and learn, you will understand everything, learn and analyse what you have learn.

BEUROCRACY is what keep all us alive, contigency saves a life.

No offense, R. I. P NEEMA.
 
Kwa hili unawaonea wazazi hawawezi kuwa na vijana wao muda woote

Mdau hakuna mzazi kuonewa ila mtoto ukimlea katika maadili na misingi iliyo imara hakika Malaika watamlinda mpaka siku za uzee wake, na hiyo ya wazazi kulea watoto imeandikwa ndani ya Biblia na imeandikwa mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako kabla hazijakaribia siku zilizokuwa mbaya .
 
Mdau hakuna mzazi kuonewa ila mtoto ukimlea katika maadili na misingi iliyo imara hakika Malaika watamlinda mpaka siku za uzee wake, na hiyo ya wazazi kulea watoto imeandikwa ndani ya Biblia na imeandikwa mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako kabla hazijakaribia siku zilizokuwa mbaya .

Your very right mydia but Shetani naye anambinu nyingi. Niwachungaji wa ngapi? Ambao watoto wao niwaovu kupita Kiasi??
Nadhani tusitupe lawamana kwa wazazi moja kwa moja.
 
Your very right mydia but Shetani naye anambinu nyingi. Niwachungaji wa ngapi? Ambao watoto wao niwaovu kupita Kiasi??
Nadhani tusitupe lawamana kwa wazazi moja kwa moja.

Nimenukuu kutoka katika Biblia si maneno yangu siku hizi kuna kamtindo kamezuka mzazi kumpenda mtoto mpaka mtoto badala ya kwenda vizuri ndio anaharibikaa hata ile kumsema mtoto anaogopa eti asijemuuzi sasa hapo kumbe ndio tunatengeneza bomu .
 
Daah kifo bana alikuwa katoka kunywa pombe poleni waf iwa lakini wazazi simamieni hapa enyi wazazi waleeni watoto wenu katika njia ipasayo nao hawataiacha mpaka uzeeni.

Angekuwa anazingatia kilichompeleka chuo yasingepata hayo yaliyompata,wakati mwingine tunamlaumu Mungu tu bila sababu.
 
Maskini...RIP Neema.

DZUDZUKU kwani hao wahalifu huwa hawatibiwi mwisho wa siku?! Unless wakishagundulika ni wahalifu huwa wanaachwa wafe hoja yako haina mashiko.

Kungekuwa na utaratibu kwamba mtu anapewa huduma wakati polisi wa kituo cha karibu na hosp wanapewa taarifa. Wakati maisha ya mtu yanaokolewa polisi wanakuja, wanafanya yao na kama mtu ni mhalifu anatiwa pingu na kuwekewa ulinzi wakati wanasubiria apate nafuu wamchukue.

Huo upuuzi wa kukimbizana polisi wakati mtu yuko hoi unagharimu maisha ya watu wengi sana.
Kuna umuhimu kila hospital ya serikali iwe na dawati la askari just kuandika hiyo PF3....na kwa hili we only need just one askari
 
Last edited by a moderator:
Tz bana yaani yu hoi, hatibiwi mpaka pf tatu?kwanini asiendelee kupata matibabu huku tukifuatilia pf3?
 
Tz bana yaani yu hoi, hatibiwi mpaka pf tatu?kwanini asiendelee kupata matibabu huku tukifuatilia pf3?

Kuna sheria nyingi tu mbovumbovu na hii ikiwa moja wapo.
 
Back
Top Bottom