Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
May her soul rest in peace
Ili suala la PF3 liangaliwe upya.
Mgonjwa anapokuwa mahututi atibiwe kwanza, mbona tumechelewa sana.
Poleni sana wafiwa
Ukifuata beurocracy basi mambo kama haya yanatokea na usipo fuata mambo kama ya ESCROW yanatokea. Pf3 ni lazima itolewe ndio mgonjwa atibiwe. La sivyo watatibu na wahalifu. Sema wengi wetu tunasahau kwamba kunakitu inaitwa contigency.
Ingetumika hii basi binti angepona.
R. I. P.
Watu wa psychology inabidi waanze kuajiriwa vyuoni na shule za sekondari, kwani chanzo chawezekana kikawa ni msongo wa mawazo kilichompelekea kujihusisha na utumiaji wa pombe kwa wingi. Swala la msongo wa mawazo halina tiba zaidi ya counselling au ushauri nasaha. Lala pema peponi dada Neema.
Hiki kitengo ni muhimu sana sijui wahusika wanaliona hili naomba serikali ijayo iangalie na hili.Watu wa psychology inabidi waanze kuajiriwa vyuoni na shule za sekondari, kwani chanzo chawezekana kikawa ni msongo wa mawazo kilichompelekea kujihusisha na utumiaji wa pombe kwa wingi. Swala la msongo wa mawazo halina tiba zaidi ya counselling au ushauri nasaha. Lala pema peponi dada Neema.
Manina halafu mmekazana watu warudi bongo kwenye nchi ya majanga na mategeta escrow na ma epa:::harudi ng'ooo.kweli mkuu,Ifike wakat serikal ilione hili,kwanini kusiwekwe utaratibu kila hospital ya wilaya kukawa na ofisi ya kutoa hizi PF 3??nakumbuka nshapata shida sana na majeruh wa ajal kwa kuzungushwa nenda kituo hik,ukifika nenda kule,,kuna haja ya kulitazama hili vifo vingi vnatokea kwa kukosa huduma kwa wakati!!!!
Point Mkuu. Tena nataman wangekuwa wanasoma hapa sasa hv kesho waanze kusambazwa upesi!!! Hali ni mbaya vyuoni.
Hata wanamziki wanawahtaj hawa watu sana
Mungu ailaze roho ya huyu Binti mahali alipojichagulia yeye mwenyewe enzi za Uhai wake
ni kuomba rehema tu